MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Dirisha  La Udahili Awamu Ya Pili Lafunguliwa-TCU
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Dirisha  La Udahili Awamu Ya Pili Lafunguliwa-TCU
Habari

Dirisha  La Udahili Awamu Ya Pili Lafunguliwa-TCU

Author
By Author
Share
3 Min Read
Na Lucy Lyatuu
TUME   ya Vyuo vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kufungua kwa awamu ya pili ya udahili Kwa mwaka 2025/2026bao umeanza Leo Septemba 3 hadi Septemba 21 mwaka 2025.
Tume hiyo inawaasa waombaji ambao hawakuweza kutuma maombi ya udahili au hawakuweza kupata nafasi ya kudahiliwa katika awamu ya kwanza kutokana na sababu mbalimbali watumie fursa hiyo kutuma maombi kwa vyuo wanavyovipenda.
Hayo  yalisemwa   na Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) Profesa Charles Kihampa  alipokuwa akitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya kukamilika kwa awamu ya kwanza na kufunguliwa kwa awamu ya pili ya udahili wa shahada ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2025/2026.
Amesema waaombaji udahili na vyuo wanapaswa kuzingatia utaratibu wa udahili wa awamu ya pili kama ilivyo kwenye kalenda ya udahili katika tovuti ya TCU.
Profesa Kihampa amesema Tume inaelekeza vyuo vya elimu ya juu nchini kutangaza program ambazo bado zina nafasi nakutoa wito kwa waombaji wa udahili wa shahada ya kwanza kuwa masuala ya yote yanayohusu  udahili au kujithibitisha katika chuo kimoja yawasilishwe moja kwa moja kwenye vyuo husika.
Amesema kwa wale ambao watapata changamoto katika kujitihibitisha vyuo vyote vinaelekezwa kupokea taarifa zao na kutafuta ufumbuzi wa haraka kwa kuzingatia miongozo na taratibu zilizowekwa.
Ameeleza kuwa kukamilika kwa awamu ya kwanza ya udahili wa shahada ya kwanza katika taasisi za elimu ya juu nchini kwa mwaka wa masomo 2025/2026 imekamilika na majina ya waliodahiliwa katika awamu hiyo yatangangazwa na vyuo husika.
Ameongeza katika awamu ya kwanza jumla ya waombaji 146,879 wametuma maombi ya kujiunga katika vyuo 88 vilivyoidhinishwa kudahili wanafunzi katika shahada ya kwanza na jumla ya program 894 zimeruhusiwa kudahili ikilinganishwa na program 856 mwaka 2024/2026 ikiwa  ni ongezeko la program 38 za masomo.
Vilevile kwa upande wa nafasi za udahili mwaka huu kuna jumla ya nafasi 205.652 ikilinganishwa na nafasi 3.3 katika program za shahada ya kwanza.
Amesema katika awamu ya kwanza jumla ya waombaji 116,596 sawa na asilimia 79.4 ya waombaji wote waliiomba udahili wamepata udahili kweye vyuo walivyoomba ambapo idadi ya waombaji na watakaodahiliwa inatarajia kuongezeka katika awamu ya pili ya udahili.
Hatahivyo amesema waombaji waliodahiliwa katika chuo zaidi ya kimoja wanafikia  67,576  ambapo  wanapaswa kuthibitisha udahili wao katika chuo kimoja wapo kuanzia Leo(Sept 3,2025)  hadi Septemba 21 mwaka huu,ambapo uthibitisho  huo unafanyika  kutumia namba maalum ya siri iliyotumwa kwa ujumbe mfupi kupitia namba zao za simu au kwa barua pepe walizotumia wakati wa kuomba udahili.

You Might Also Like

Yonaz akabidhi boti ya doria kukabili vitendo vya kiuhalifu

Samia Mgeni Rasmi Mkutano Mkuu ALAT

NBS: Utumiaji Wa Takwimu Nyenzo Muhimu Kwa Mama Lishe

Serikali Kusaini Muongozo Wa Kima Cha Chini Cha Mshahara Kwa Sekta Binafsi

RC Chalamila Ataka Reli Za Ndani Ya Mkoa Kusafirisha Abiria, Kupunguza Msongamano

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania Yapiga Hatua Kwenye Elimu ya Kidijitali Kupitia Ushirikiano na China
Next Article Polisi Dar Wakamata Magari 15  Yasiyo na Usajili Rasmi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CHAUMMA Kuunda Mamlaka ya Mazao ya Kimkakati – Salum Mwalim
Habari September 14, 2025
Heshima ya Udaktari Ni Mwito wa Kulitumikia Taifa: Dkt Ikomba
Habari September 14, 2025
Rais Wa CWT Suleiman Ikomba Sasa Ni Daktari
Habari September 13, 2025
Salum Mwalim: Nitarejesha Hadhi ya Kanda ya Ziwa na Kuinua Zao la Pamba
Habari September 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?