MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Samia, Nchimbi Kuchukua Fomu Ya Urais Kesho
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Samia, Nchimbi Kuchukua Fomu Ya Urais Kesho
Habari

Samia, Nchimbi Kuchukua Fomu Ya Urais Kesho

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, pamoja na mgombea mwenza wake, Dkt. Emmanuel Nchimbi, wanatarajiwa kufika katika Ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi kesho Agosti tisa, 2025  saa 4:50 asubuhi kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi hizo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) – Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, amesema hatua hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa ratiba rasmi ya Tume ya Uchaguzi, ambayo imepanga uchukuaji wa fomu za urais kufanyika kuanzia Agosti tisa hadi 27, mwaka huu 2025.
“Chama chetu kilishakamilisha mchakato wa ndani na kuwateua wagombea. Hivyo, kesho watachukua fomu rasmi na baadaye kurejea makao makuu ya chama kwa ajili ya kusaini na kuzungumza na wanachama,” amesema.
Aidha, alibainisha kuwa uchukuaji wa fomu za ubunge na udiwani utaanza rasmi Agosti 14 na kufungwa Agosti 27, 2025 saa 10:00 jioni, sambamba na fomu za urais.
Makalla amesisitiza kuwa siku ya kuchukua fomu ni ya kihistoria kwa CCM, na kwamba chama kimejipanga kuhakikisha kinaendelea kushika dola kwa kipindi kingine.

You Might Also Like

Ridhiwani Ashiriki Mazishi Ya Mwenyekiti SHIVYAWATA

Watanzania Washauriwa Kula Senene, Kumbikumbi, Msusa, Ngogwe Kuepuka Udumavu

Rais Samia Kuzindua Mfuko wa Mikopo Wenye Kianzio Cha Sh. Bilioni 2.3

PURA Yajipanga Gesi Asilia Itumike Kwenye Magari

Majaliwa Amwakilisha Rais Samia Kilele Kongamano la TEHAMA

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mgombea Udiwani Manyoni Adhalilishwa, Rushwa Yadaiwa Kuvuruga Kura Za Maoni
Next Article Dodoma Yang’ara Katika Mfumo wa Stakabadhi Ghalani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?