MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TARI Kibaha Yaboresha Pia Mbegu za Mazao ya Mizizi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TARI Kibaha Yaboresha Pia Mbegu za Mazao ya Mizizi
Habari

TARI Kibaha Yaboresha Pia Mbegu za Mazao ya Mizizi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MOROGORO: MBALI na miwa, TARI Kibaha inahusika pia na uzalishaji wa mbegu bora za muhogo na viazi vitamu.
Mtafiti kutoka TARI Kibaha, Nsajigwa Mwakyusa, amesema hayo katika maonesho ya nanenane  Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro.
Amesema taasisi hiyo ina aina 25 za mbegu bora za muhogo ambazo zinastahimili ukame, zina tija ya zaidi ya tani 20 kwa hekta pia zina ukinzani dhidi ya magonjwa ya batobato na michirizi ya kahawia
Amesema mfumo rasmi wa upatikanaji wa mbegu umewekwa ambapo TARI huzalisha mbegu za awali, kisha wadau wengine huzalisha daraja la msingi, cheti na umbegu.
“Aina ya Kiroba hukomaa kati ya miezi nane hadi 12, na huweza kutoa mavuno ya hadi tani 31 kwa hekta,” amesema.
Kwa upande wa mbegu za viazi vitamu amesema TARI Kibaha ina aina 20 za viazi vitamu, ambapo mbegu 12 kati yake ni viazi lishe.
“Mbegu hizi zinatoa tija ya zaidi ya tani 10 kwa hekta, zinakomaa ndani ya miezi minne, zinastahimili ukame na magonjwa ya virusi pamoja na zinakabili wadudu waharibifu kama vidumuzi wa viazi ” amesema.
Maelezo yake ni kwamba viazi lishe vina kiasi kikubwa cha vitamini A, ambayo ni muhimu kwa watoto chini ya miaka mitano,wamama wajawazito na wanaonyonyesha, pamoja na wazee.
Amesema vitamini A husaidia kuimarisha afya ya macho, pia kwa kinga ya mwili.

You Might Also Like

Watanzania Tuendelee Kudumisha Amani-Dk Biteko

Profesa Mkenda Aitaka TAEC Kusomesha Watumishi

TPHPA: Toeni taarifa mapema milipuko ya kwelea kwelea, nzige, viwavijeshi vamizi inapotokea

VETA yawafikia madereva ‘Boda boda’

Dkt Yonaz Awaasa Watumishi Ofisi Ya Waziri Mkuu  Kuongeza Bidii Katika Kutekeleza Majukumu Yao

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TAMWA Yawawezesha Wanawake Kupitia Mradi wa Nyuki
Next Article Mchome: Ubunifu wa VETA Ni Mkubwa, Sasa Ni Wakati Wa Uzalishaji Kwa Wingi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?