MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Habari

Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Danson Kaijage

DODOMA: SPIKA wa Bunge Dkt. Tulia Ackson, ametangaza kifo cha aliyewahi kuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai.

Ndugai pia alikuwa ameshiriki kwenye kura za maoni kutetea nafasi yake ya ubunge katika Jimbo la Kongwa, jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa taarifa ya Dkt. Tulia kupitia Kitengo cha Mawasiliano cha Bunge, imeelezwa kuwa leo Agosti sita, 2025 , Job Ndugai amefariki dunia.

Hata hivyo, taarifa hiyo haijafafanua chanzo cha kifo chake wala muda halisi wa kufariki, na badala yake imeelezwa kuwa Kamati ya Mazishi ya Bunge kwa kushirikiana na familia inaendelea kuratibu taratibu za mazishi.

Taarifa ya Spika Dkt. Tulia imetoa pole kwa wakazi wa Jimbo la Kongwa, Mkoa wa Dodoma, familia na Watanzania kwa ujumla.

 

You Might Also Like

Sheria  300 Zimetafsiriwa Kwa Lugha Ya Kiswahili

Dkt. Biteko ashiriki kilele cha miaka 60 JWTZ

Ubovu wa Kituo cha Daladala Bunju Sokoni Watesa Abiria

Tani 27, 550  za ufuta zenye thamani ya bilioni 80 zimeuzwa

Kasulu DC Yapongezwa Kwa Kupata Hati Safi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Next Article TPHPA Yaleta Mapinduzi Mapya Katika Kilimo Kupitia Teknolojia ya Vinasaba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nishati Safi Kwa Kila Mtanzania Inawezekana – Saidy
Habari August 7, 2025
Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?