MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Habari

Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Danson Kaijage

DODOMA: SPIKA wa Bunge Dkt. Tulia Ackson, ametangaza kifo cha aliyewahi kuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai.

Ndugai pia alikuwa ameshiriki kwenye kura za maoni kutetea nafasi yake ya ubunge katika Jimbo la Kongwa, jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa taarifa ya Dkt. Tulia kupitia Kitengo cha Mawasiliano cha Bunge, imeelezwa kuwa leo Agosti sita, 2025 , Job Ndugai amefariki dunia.

Hata hivyo, taarifa hiyo haijafafanua chanzo cha kifo chake wala muda halisi wa kufariki, na badala yake imeelezwa kuwa Kamati ya Mazishi ya Bunge kwa kushirikiana na familia inaendelea kuratibu taratibu za mazishi.

Taarifa ya Spika Dkt. Tulia imetoa pole kwa wakazi wa Jimbo la Kongwa, Mkoa wa Dodoma, familia na Watanzania kwa ujumla.

 

You Might Also Like

TAKUKURU, Manispaa Ubungo Yawafikia Waendesha Bajaji, Bodaboda

Miradi ya maedeleo na Huduma za afya isimamiwe kwa ukaribu

Mgombea Urais SAU Aahidi Kuongoza Nchi Kwa Hofu Ya Mungu

Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRB

Sheikh Akemea Wanawake,Wanaume Wanaovaa Vibaya 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Next Article TPHPA Yaleta Mapinduzi Mapya Katika Kilimo Kupitia Teknolojia ya Vinasaba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?