MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Uvuvi Wa Kisasa Wainua Mwanza Kiuchumi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Uvuvi Wa Kisasa Wainua Mwanza Kiuchumi
Habari

Uvuvi Wa Kisasa Wainua Mwanza Kiuchumi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
Dodoma: MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema matumizi ya teknolojia ya kisasa yamechochea mageuzi makubwa katika sekta ya uvuvi mkoani humo, na kuifanya Mwanza kuwa kinara katika uchakataji, usafirishaji na ufugaji wa samaki nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita, Mtanda amesema mkoa huo umevuna matunda ya uwekezaji katika teknolojia ya uzalishaji na usindikaji wa mazao ya samaki, hatua inayochochea uchumi wa buluu na kuwanufaisha wananchi moja kwa moja.
“Idadi ya vizimba vya kufugia samaki imeongezeka kutoka 1,664 mwaka 2020 hadi kufikia 2,715 mwaka 2025. Ni mafanikio makubwa ya uwekezaji katika teknolojia ya kisasa ya ufugaji wa samaki,” amesema.
Kwa mujibu wa Mtanda, mwaka 2024 pekee zaidi ya tani 43,657.6 za minofu ya samaki zilichakatwa, huku tani 81,812 zikisafirishwa nje ya nchi kupitia Uwanja wa Ndege wa Mwanza.
Pia, usafirishaji wa mabondo ya samaki nje ya nchi umeongezeka kutoka kilo 431,721 mwaka 2020 hadi kilo 495,448 mwaka 2024.
Amesema Idadi ya mabwawa ya kufugia samaki pia imepanda kutoka 286 mwaka 2020 hadi 531 mwaka 2025, ongezeko la zaidi ya asilimia 85.
 “Mapato ya shughuli za uvuvi mkoani Mwanza yameongezeka kutoka Sh. Bilioni 4.4 mwaka 2020 hadi Bilioni 8.2 mwaka 2025.
“Haya ni mafanikio ya moja kwa moja ya sera na msukumo wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika kukuza uchumi wa buluu,” amesema.
Mkuu huyo wa mkoa amesema Mwanza itaendelea kuhamasisha uwekezaji, utafiti na matumizi ya teknolojia, ili kuhakikisha kuwa rasilimali za Ziwa Victoria zinawanufaisha wavuvi wadogo, wanawake, vijana na wafanyabiashara wa dagaa kwa uendelevu.

You Might Also Like

Lukuvi Asema 2024 Bangi Ilivunja Rekodi, Tani Zaidi Ya 2000 Zilikamatwa

Rais Samia Azungumzia Mafanikio Ya Nishati Nchini

Samia, Nchimbi Kuchukua Fomu Ya Urais Kesho

TSLB Yatakiwa Kuimarisha Huduma za Kidijitali Ili Kukidhi Mahitaji ya Karne ya 21

Nchi Za SADC Zahimizwa Kutunza, Kulinda Amani

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania Yaingia Saba Bora Duniani  Kwa Uzalishaji Wa Pamba Hai
Next Article CCM Yasitisha Ratiba ya Uchaguzi wa Maoni
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?