MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata
Habari

Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: “BAADA ya kupata mafunzo kwa miaka mitatu nimeweza kukua kibiashara kwa sababu mwanzoni niliweza kuuza bidhaa zangu za viungo vya chakula mkoa mmoja. Lakini sasa nauza nchi nzima hata nje ya nchi,”.

Mnufaika wa Mfuko wa Kuendeleza Ujuzi ( SDF), ulioko chini ya Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Geshoni Muni ameeleza hayo katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara yajulikanayo kama Sabasaba mkoani Dar es Salaam alipozungumza na Mfanyakazi Tanzania katika Banda la TEA.

Amesema mwanzoni alipoanza usindikaji wa viungo aliuza katika mkoa wa Iringa pekee, lakini sasa anauza mikoa yote bidhaa zake za tangawizi, mdalasini, viungo vya pilau, viungo vya chai na vinginevyo.

“Pia nimebahatika kuuza tangawizi kavu nchi ya Afrika Kusini tani 20 pamoja Zambia.

“Kuwa na TEA kumenisaidia kutambulika na kupata masoko kwa ukubwa kiasi hicho,” amesema.

Ameshukuru kwa kuwa biashara hiyo imemwezesha kuendesha maisha yake, hategemei kuajiriwa wala hawazi kufanya hivyo kwa kuwa anaiamini biashara anayoifanya.

Amekiri maisha yake yameboreshwa kutokana na biashara hiyo.

Naye Mkulima wa Uyoga, Esther Shebe amesema kwamba, naye ni mnufaika wa mfuko huo wa kuendeleza ujuzi.

“Kwa miaka mitatu nimenufaika. Ninashukuru TEA kwa kuniwezesha kunitangaza kwenye maonesho mbalimbali yakiwemo haya ya sabasaba kwa mwaka huu 2025.

“TEA imenipa nafasi ya kuonesha bidhaa zangu na watu wananunua. Lakini nimenufaika kwa kupata ujuzi mpaka nina bidhaa karibia 10 ninazozitengeneza. Lakini hii yote ni kutokana na mfuko wa kuendeleza ujuzi nilipoenda kujifunza SIDO,” amesema.

Amesema kwa sasa anatengeneza losheni ya uyoga, shower jelly pamoja na sabuni ya uyoga na mafuta ya mgando ya uyoga, wine ya uyoga, biskuti, keki na uyoga wenyewe.

Pia ametengeneza mkaa mbadala kwa kutumia mabaki ya uyoga ambao hauna moshi na ni mzuri kwa matumizi.

You Might Also Like

RC Chalamila Ataka Reli Za Ndani Ya Mkoa Kusafirisha Abiria, Kupunguza Msongamano

Mitambo 10 Ya Uchimbaji Madini Yenye Thamani Ya Bilioni 10 Yazinduliwa

Polisi Yaimarisha Usalama Timu za Simba na Yanga Kesho

Erio atoa elimu ya bidhaa bandia kwenye mabanda nanenane

Mpango Mkakati wa Takwimu wazinduliwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA Dodoma Waleta Mashine Kurahisishia Upekechuaji Wa Alzeti
Next Article TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?