MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: UDSM Yaja Na Bajaji Inayotumia Maji Na Mafuta
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > UDSM Yaja Na Bajaji Inayotumia Maji Na Mafuta
Habari

UDSM Yaja Na Bajaji Inayotumia Maji Na Mafuta

Author
By Author
Share
3 Min Read
Na Lucy Lyatuu
CHUO  Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)  imebuni bajaji inayotumia maji na mafuta lengo likiwa ni  kupunguza gharama za uendeshaji kwani injini inapopoa hutumia mafuta kidogo.
lMbunifu Andrew Mbanga kutoka ndaki ya  Chuo cha Uhandisi na Teknolojia (CoET) Ya Chuo  cha Dar es Salaam (UDSM) ameeleza hayo katika Banda la UDSM lililoki katika maonesho ya 49 ya biashara ya kimaraifa maarufu kama sabasaba yanayoendelea Dar es Salaam.
Amesema uwepo wa mfumo wa maji katika bajaji  ni moja ya njia inayoweza kupunguza gharama za uendeshaji kwani injini inapopoa hutumia mafuta kidogo
Amesema ubunifu huo unatokana na biashara ya usafirishaji inavyozidi kukua nchini, ambapo watu wanaendelea kubuni namna rahisi ambazo zitawawezesha watu kufanya shughuli zao kwa urahisi.
Amesema Hiyo unatokana na kuwatafutia suluhisho  linaloweza kuwapunguzia gharama za uendeshaji.
Amesema kwa mara ya kwanza alitengeneza bajaji ya aina hiyo mwenyewe lakini alipoambiwa kupeleka chuo Kikuu cha Dar es Salaam ifanyiwe marekebisho ilibainika kuwa imekaa muda mredu baada ya kufanyiwa vipimo.
Amesema  ilibidi kuanza upya kwa kwa kushirikiana na wahandisi wa chuoni hapo, hadi walipoikamilisha  na kuwa kama inavyoonekana kwa sasa.
Kuhusu  inavyofanya kazi, Mmbaga amesema bajaji hiyo ina mfumo wa kuingiza maji kwa ajili ya kupooza ‘cylinder’ zisipate moto ambapo maji huwekwa katika tanki maalumu.
Amesema Maji hayo huenda  kwenye injini yakiwa ya moto na kuingia katika rejeta na kwa kuwa Kuna  feni  katika rejeta hufanya maji yapoe na kuanza mzunguko mpya.
“Hilo linafanya injini inapoa muda mwingi hali inayofanya mafuta kidogo kutumima ukilinganisha na mfumo huo ungekosena,” amesema.
Amesema maji yanayotumika ni safi  isipokuwa yasiyokuwa ya chumvi na hufanya kazi kwa wiki moja na mtu anatakiwa kubadilisha ikiwa mtu anafanya kazi kila siku.
“Ukiacha yachafuke sana yataziba matundu ya rejeta kwa sababu maji yanapozidi kuwa ya moto sana yanatengeneza povu, sasa povu likiendelea kukaa ndani ya rejeta na ikiwa ni maji ya chumvi ndiyo kabisa yanaziba matundu,” amesema.
Amesema bajaji za abiria za kawaida hazina mfumo wa maji isipokuwa zile za mizigo huku akisema lengo ni kufungua kiwanda cha kutengeneza bajaji.
Amesema watatengeneza bajaji aina tatu, ya kutumia gesi, bajaji za umeme jua na bajaji za kutumia mafuta ya kawaida,” amesema Mbanga.
Amesema wanatazamia kufanya biashara na watu wa ndani na nchi za jirani na sasa anaikiri tayari kupata oda za watu wanaotaka kutengenezewa bajaji hizo.
“Tukimaliza sabasaba tutakwenda Costecj ili bajaji iweze kuthamini na baadaye itaingia katika majaribio rasmi barabarani, baada ya uthamini tutaweza kupanga bei ambayo mteja anaweza kulipia,” amesema.

You Might Also Like

Ridhiwan Kikwete aitaka LESCO kushirikiana na serikali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ajiandikisha Kijijijni Nandagala

Kasulu Yatoa Mafunzo Utumiaji wa Mfumo Wa Kieletroniki Kwa Wakuu wa Divisheni, Vitengo

Kameta awaasa watanzania kutonunuliwa  kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mtaa, Mkuu

Limeni mkonge unalipa – Maghali

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Bodi ya Bima ya Amana Yatoa  Bil 9.07 , Fidia Kwa Wateja Wa Benki Saba   Zilizofilisika
Next Article VETA Shinyanga Waja Na Mafunzo Ya Saluni, Mapambo, Urembo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi
Habari July 3, 2025
Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata
Habari July 3, 2025
VETA Dodoma Waleta Mashine Kurahisishia Upekechuaji Wa Alzeti
Habari July 3, 2025
VETA Shinyanga Waja Na Mafunzo Ya Saluni, Mapambo, Urembo
Habari July 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?