MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mfumo wa Usalama Majumbani, Umewakumbuka Wenye Ulemavu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mfumo wa Usalama Majumbani, Umewakumbuka Wenye Ulemavu
Habari

Mfumo wa Usalama Majumbani, Umewakumbuka Wenye Ulemavu

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: MWANAFUNZI wa Mwaka wa Pili, Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Mtwara, Jeremia Mirobo amebuni mfumo wa usalama majumbani.
Mirobo ambaye amesomea fani ya umeme wa majumbani amebuni mfumo wa kuzima taa au umeme ambao unamzuia mtu asisogele luninga kwa sababu ya usalama wa macho yake.
Pia mfumo huo ukiwa umefungwa, kisha gesi ikawa inavuja ndani ya nyumba, huo mfumo utazima umeme kisha, utarudisha umeme gesi itakapoisha.
“Kuna wale ambao hawana mikono hivyo hawawezi kuwasha taa kwa kubonyesha, kwa hiyo watapuliza kuwasha, watapuliza tena kuzima,” amesema.
Ameongeza kuwa mfumo huo alioufanyia utafiti mtu anaweza kuuendesha akiwa mbali, na kutolea mfano mtu akiacha  taa  zinawaka kwa kusahau kuzima, kwa kutumia simu ya mkononi iliyounganishwa za mfumo itawezekana kuizima popote mtu huyo atakapokuwa.

You Might Also Like

TIC Yapaa Kiuchumi Afrika

Tafiti Katika Afya Nyenzo Muhimu

Rais Samia Azindua Makao Makuu Ya Mahakama Tanzania

Huduma ya Mahakama ya Mwanzo yasogezwa Wilaya ya Ubungo

Msigwa Awataka Wakuu Wa Mikoa Kuandaa Maeneo Ya Upandaji Miti

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA Shinyanga Waja Na Mafunzo Ya Saluni, Mapambo, Urembo
Next Article Bodi ya Bima ya Amana Yatoa  Bil 9.07 , Fidia Kwa Wateja Wa Benki Saba   Zilizofilisika
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi
Habari July 3, 2025
Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata
Habari July 3, 2025
VETA Dodoma Waleta Mashine Kurahisishia Upekechuaji Wa Alzeti
Habari July 3, 2025
VETA Shinyanga Waja Na Mafunzo Ya Saluni, Mapambo, Urembo
Habari July 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?