MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mfumo wa Usalama Majumbani, Umewakumbuka Wenye Ulemavu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mfumo wa Usalama Majumbani, Umewakumbuka Wenye Ulemavu
Habari

Mfumo wa Usalama Majumbani, Umewakumbuka Wenye Ulemavu

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: MWANAFUNZI wa Mwaka wa Pili, Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Mtwara, Jeremia Mirobo amebuni mfumo wa usalama majumbani.
Mirobo ambaye amesomea fani ya umeme wa majumbani amebuni mfumo wa kuzima taa au umeme ambao unamzuia mtu asisogele luninga kwa sababu ya usalama wa macho yake.
Pia mfumo huo ukiwa umefungwa, kisha gesi ikawa inavuja ndani ya nyumba, huo mfumo utazima umeme kisha, utarudisha umeme gesi itakapoisha.
“Kuna wale ambao hawana mikono hivyo hawawezi kuwasha taa kwa kubonyesha, kwa hiyo watapuliza kuwasha, watapuliza tena kuzima,” amesema.
Ameongeza kuwa mfumo huo alioufanyia utafiti mtu anaweza kuuendesha akiwa mbali, na kutolea mfano mtu akiacha  taa  zinawaka kwa kusahau kuzima, kwa kutumia simu ya mkononi iliyounganishwa za mfumo itawezekana kuizima popote mtu huyo atakapokuwa.

You Might Also Like

Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi

Kameta awaasa watanzania kutonunuliwa  kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mtaa, Mkuu

Maandalizi Mei Mosi Yapamba Moto Singida

Mbunge wa Chalinze Ridhiwani, Mwenyekiti wa CCM Pwani, wawanadi wagombea wa CCM

Sheikh wa Mkoa, ‘Wanaotoa Rushwa Msiwachague’

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA Shinyanga Waja Na Mafunzo Ya Saluni, Mapambo, Urembo
Next Article Bodi ya Bima ya Amana Yatoa  Bil 9.07 , Fidia Kwa Wateja Wa Benki Saba   Zilizofilisika
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?