MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TPHPA, MUCE Wasaini Hati Ya Makubaliano Maeneo Yanayogusa Sayansi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TPHPA, MUCE Wasaini Hati Ya Makubaliano Maeneo Yanayogusa Sayansi
Habari

TPHPA, MUCE Wasaini Hati Ya Makubaliano Maeneo Yanayogusa Sayansi

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu (TPHPA), wamesaini hati ya makubaliano na Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE), katika maeneo mbali mbali likiwemo la udhibiti wa magonjwa na wadudu waharibifu wa mazao,

Akizungumza mara baada ya kusaini hati hiyo ya makubaliano, Mkurugenzi Mkuu wa TPHPA, Profesa Joseph Ndunguru amesema kuwa moja ya eneo la ushirikiano ni kwa kuwa kuna sayansi katika chuo hicho sawasawa na shughuli zinazofanyika katika mamlaka yake.

Amesema watashirikiana na chuo hicho kufanya utafiti na kutumia matokeo ya utafiti ili kutoa suluhu kwa wakulima katika maeneo ya magonjwa na wadudu waharibifu wa mazao.

“Ushirikiano huu utawezesha kufanya kazi pamoja na kuja na suluhu. Tunataka kutumia ushirikiano huu kujengeana uwezo hasa katika kuandika miradi ikiwa ni mkakati mojawapo wa kutafuta fedha kuendesha majukumu ya kila siku.

“Kuna umuhimu wa kushirikiana sisi kwa sisi,” amesema Profesa Ndunguru.

Profesa Ndunguru amesema mamlaka yake ina vifaa vya kisasa kwenye maabara na ambavyo ni vingi hivyo wanafunzi wa MUCE wanaweza kwenda na kufanya majaribio kwa vitendo, ili wajue utafiti wanaoufanya unapaswa kutoa suluhu kwa jamii.

Ametaja ushirikiano mwingine utakuwepo katika kuandaa mikutano ya pamoja ambayo itawaweka wadau pamoja kwa ajili ya kupeana taarifa, kubadilishana uzoefu katika nyanja mbalimbali zinazofanyiwa utafiti na wataalam wa MUCE na TPHPA.

Amesema pia mamlaka yake itawasimamia wanafunzi wa MUCE wanaosoma shahada ya uzamili na uzamivu kwa ajili ya kutoa mafunzo mbalimbali.

Amemalizia kwa kusema mamlaka hiyo imeanzisha program ambayo wanataka kijana atakayekuwa na ubunifu utakaosaidia kutambua magonjwa na wadudu waharibifu wa mazao, ubunifu huo utafadhiliwa na TPHPA.

You Might Also Like

TPHPA, KEM Wasaini Hati Ya Makubaliano Udhibiti Viuatilifu

Ridhiwani Ashiriki Kikao Cha Kazi Na Ajira Saudi Arabia

Wanafunzi Waliokwenda China Watakiwa Kuiwakilisha Tanzania Vizuri

WCF Yaleta Utulivu Mahala Pa Kazi – Katambi

Miradi 10 Ya Kimkakati TPA Kuinua Uchumi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article UDOM Yatumia Akili Mnemba Kugundua Dawa
Next Article Dkt. Mashimba Achukua Fomu Ya Kuwania Nafasi Ya Ubunge
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mchumi Ajitosa Kuwania Ubunge Manyoni
Habari July 1, 2025
Msomi Wa Afya, Fatuma Atia Nia Jimbo la Dodoma Mjini
Habari July 1, 2025
Dkt. Mashimba Achukua Fomu Ya Kuwania Nafasi Ya Ubunge
Habari July 1, 2025
UDOM Yatumia Akili Mnemba Kugundua Dawa
Habari July 1, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?