MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Madini Yaweka Rekodi Makusanyo Ya Maduhuli
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Madini Yaweka Rekodi Makusanyo Ya Maduhuli
Habari

Madini Yaweka Rekodi Makusanyo Ya Maduhuli

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: SEKTA  ya Madini imekusanya Maduhuli ya kiasi cha Sh. Trilioni moja ikiwa imebaki siku moja tu kukamilisha Mwaka wa Fedha 2024/25.
Katibu Mkuu wa  Wizara ya Madini, Yahya Samamba  amesema hayo wakati akifunga Bonanza lililowakutanisha pamoja watumishi wa Wizara na taasisi ambapo wameshiriki katika michezo mbalimbali.
Amesema katika Mwaka wa  Fedha 2024/25 Sekta ya Madini ilipangiwa kukusanya shilingi trilioni moja ambazo zimeingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali.
“Tumeweza kukusanya trilioni moja na ‘point’ bila kuwepo mgodi mpya, hakuna mwaka huko nyuma tuliosogelea  Sh. Bilioni 900  lakini mwaka huu tumeweza kukusanya kiasi hicho hii ikiwa ni sawa na wastani wa kukusanya Sh. Bilioni 84 kila mwezi,” amesema.
Amesema mwenendo mzuri wa ukusanyaji wa fedha umeifanya wizara kupangiwa kukusanya Sh. Trilioni 1.2 , hivyo, kuwataka watumishi kuongeza bidii ili Sekta ya madini iwe moja ya taasisi ambazo zitaongeza mapato ya ndani ya nchi yatakayoiwezesha nchi kujitegemea.
Kutokana na mafanikio hayo,  Samamba amewapongeza watumishi wote wa Wizara ya Madini na taasisi zake na kueleza kuwa, mafanikio hayo yametokana na mchango wa kila mtumishi kuhakikisha malengo yaliyowekwa yanafikiwa.
Amewataka  kuendeleza mshikamano na kufanya kazi kwa weledi ili Sekta ya Madini iendelee kutoa manufaa ya kiuchumi kwa Taifa.
Pia amepongeza Serikali kupitia Benki  Kuu ya Tanzania ( BoT)  kuanza kununua dhahabu kama akiba ya taifa na kusema suala hilo si dogo.
Amemwagiza Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu kuweka utaratibu wa kuwa na mabonanza yasiyopungua mannne Kwa mwaka kuendelea kujenga umoja na mshikamano baina ya watumishi.
Kwa upande wake, Mwenyekiti Tume ya Madini Dkt Janeth Lekashingo  amewataka watumishi kuendelea kujenga uhusiano na mawasiliano miongoni mwao huku akisititiza kujenga tabia ya kufanya mazoezi.

You Might Also Like

TPHPA yafundisha namna sahihi ya utumiaji wa viuatilifu

TPHPA Yanunua Ndege Kudhibiti Visumbufu Vya Mazao

Sekta ya Huduma Kuchangia Asilimia 45 Katika Uchumi Wa Nchi

Kumekucha Uzinduzi wa Washirika wa Tamasha, Tuzo Za Filamu Tanzania 2025

Mkunda: Tumekusudia Kuongeza Wanachama, Tuwe Na Sauti Kubwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Washauri Serikali Kutumia Fedha Za Miradi
Next Article Wakili Kanyama Achukua Fomu Mtumba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Madaktari Kutoka Ireland Watoa Matibabu Ya Mifupa Kwa Watoto MOI
Habari October 20, 2025
Mwalim: Nikichaguliwa urais, Kigaila atakuwa Waziri Mkuu wangu
Habari October 20, 2025
ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?