MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania, Japan Kushirikiana Ukuzaji Ujuzi Kwa Vijana
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania, Japan Kushirikiana Ukuzaji Ujuzi Kwa Vijana
Habari

Tanzania, Japan Kushirikiana Ukuzaji Ujuzi Kwa Vijana

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODMA: WAZIRIi wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ardhi, Miundombinu na Utalii wa Japan Kenichi Ogasawara.
Maxungumzo hayo yamehusu kuimarisha ushirikiano katika masuala ya ukuzaji ujuzi na teknolojia kwa vijana.
Ridhiwani amesema hayo leo Machi 21, 2025 Jijini Dodoma alipokutana na ujumbe huo kutoka nchini Japan.
Pia amesema kupitia programu ya ukuzaji ujuzi inayotarajiwa kuanzishwa baina ya nchi hizo mbili italeta tija kwa vijana kuweza kujiajiri au kuajiriwa kupitia ujuzi watakaoupata kutoka nchini Japan.
Katika hatua nyingine Ridhiwani amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kufungua mipaka nje ya nchi ili kutoa fursa kwa watanzania kupata kazi nje ya nchi.
Naye Naibu Waziri wa Ardhi, Miundombinu na Utalii wa Japan, Ogasawara amesemaTanzania ni moja ya Nchi ya kipaumbele katika program hiyo ya mashirikiano ya ukuzaji ujuzi na teknolojia kwa vijana wa Kitanzania.

You Might Also Like

AU yataka vyombo vya habari Afrika, kulinda Uhuru wa vyombo vya habari 

Maandalizi Mei Mosi Yapamba Moto Singida

UDSM Yaja Na Bajaji Inayotumia Maji Na Mafuta

CPC chatambua juhudi za Rais Samia

Waziri Mkuu Kumwakilisha Dkt Samia Ivory Coast

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Nzega Kujenga Barabara za Lami, Soko la Kisasa ili Kukuza Uchumi
Next Article TRC Yawatoa Hofu Wasafirishaji Mizigo Kwa Malori
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bunge Marathon kufanyika April 18,yakidhi viwango vya kimataifa
Habari April 14, 2026
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu, Aongoza Harambee Mei Mosi 2026
Habari April 14, 2026
Ubunifu Wa Majengo Watakiwa Kuzingatia Tija Na Gharama Nafuu
Habari April 11, 2026
Waziri Ulega aridhishwa na miradi ya dharura TANROADS
Habari April 11, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?