MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mfumo Wa Kuwabana Wachafuzi Wa Choo umetengenezwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mfumo Wa Kuwabana Wachafuzi Wa Choo umetengenezwa
Habari

Mfumo Wa Kuwabana Wachafuzi Wa Choo umetengenezwa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: MFUMO wa kumzuia mtumiaji wa choo asiweze kutoka baada ya matumizi mpaka atakapo ‘ flash’ ndipo mlango utafunguka, umetengenezwa ili kuimarisha usafi chooni.
Mkufunzi wa Chuo cha Al- Maktoum  (AMCET), Nyazara Haji ameeleza hayo alipozungumza na Mfanyakazi Tanzania katika Maadhimisho ya miaka 30 ya uanzishwaji wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi  (VETA), ikiwa ni siku ya pili katika Kituo cha Kimataifacha Mikutano cha Julius Nyerer Dar es Salaam (JICC).
” Kupitia mfumo huo amesema ukidumbukiza Sh 500 mlango utafunguka ukiingia unajifunga. Utafanya shughuli zako ukimaliza, unaflash ndiopo mlango utafunguka,” amesema.
Amesema kwa kufanya hivyo usafi wa choo utaimarika.
Akielezea teknolojia hiyo amesema mtumiaji atalipia fedha hata kama hakuna mtu anayepokea kwa kudumbukiza Sh 500 kwenye mashine ndipo mlango utafunguka.
Amesema mara nyingi kwenye vyoo vya jumuiya watu wengi hutumia choo bila kusafisha.

You Might Also Like

Mitambo 10 Ya Uchimbaji Madini Yenye Thamani Ya Bilioni 10 Yazinduliwa

Serikali Yaahidi Kupatia Dawa Kilio Cha Ushuru Kwa Malori

TRC Yawatoa Hofu Wasafirishaji Mizigo Kwa Malori

Serikali Yaongeza Bajeti Mfuko Wa Utamaduni Na Sanaa

TARURA Yatoa Elimu Nane Nane

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA Mara Wabuni Mtambo Wa Kuchakata Maji Kwa Samaki Wanaofugwa
Next Article MSD Yaokoa Zaidi Ya Mil. 15
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?