MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: VETA Mikumi Yatengeneza Mashine Ya Kuchakata Majani Ya Mifugo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > VETA Mikumi Yatengeneza Mashine Ya Kuchakata Majani Ya Mifugo
Habari

VETA Mikumi Yatengeneza Mashine Ya Kuchakata Majani Ya Mifugo

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: WAFUGAJI wa wanyama wanaokula majani wakiwemo ng’ombe wamekumbukwa na kutengenezewa mashine ya kuchakata chakula cha mifugo yao hususan majani.
Mwalimu kutoka Chuo cha Ufundi Stadi (VETA), Mikumi mkoani Morogoro Peres Shao, amesema hayo katika maadhimisho ya miaka 30 ya uanzishwaji wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi ( VETA), yanayoendelea kwa siku ya pili katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere Dar es Salqam ( JICC).
Shao amesema wamebuni mashine hiyo baada ya kuona changamoto ya mfugaji anakata majani  kwa kutumia panga na kigogo.
” Hiyo ndiyo imetufanya tubuni mashine hii ili ifanye kazi kwa urahisi inatumiwa na mtu yeyote mwenye akili timamu,” amesema.
Amesema katika mashine hiyo ndani kuna mapanga mtu asipokuwa makini itamkata violent.
Amesema mashine hiyo waliyoibuni ina uwezo wa kukata kilo 500 kwa saa moja.
Amesema chuo chao wapo Dar es Salaam kuadhimisha miaka 30 ya VETA.
Amewashauri wazazi kuwapeleka vijana kwenye Vyuo vya VETA ili wapate ujuzi utakaowasaidia kwa maisha ya baadaye.
Naye Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Antony Kasore amesema wataendelea kutoa elimu ya ufundi stadi pamoja na kusimamia bunifu na teknolojia mbalimbali.
 .

You Might Also Like

Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA

FCC Yapongezwa Kukabili Bidhaa Bandia

Dkt Yonaz Awaasa Watumishi Ofisi Ya Waziri Mkuu  Kuongeza Bidii Katika Kutekeleza Majukumu Yao

Silinde Akabidhi Nyaraka za Kufungua Masoko Mapya Nje ya Nchi

Wadau wa uchukuzi zingatieni maslahi ya wafanyakazi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA Mtwara Watua Na Mwani Maadhimishilo Ya Miaka 30
Next Article Maandalizi Mei Mosi Yapamba Moto Singida
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nishati Safi Kwa Kila Mtanzania Inawezekana – Saidy
Habari August 7, 2025
Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?