MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Ina Utolevu Wa Chakula Kwa Miaka Minne Uongozi Wa Samia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Ina Utolevu Wa Chakula Kwa Miaka Minne Uongozi Wa Samia
Habari

Tanzania Ina Utolevu Wa Chakula Kwa Miaka Minne Uongozi Wa Samia

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Joel Laurent amesema kwa kipindi cha miaka minne ya Serikali Awamu ya Sita, Tanzania imejitosheleza  kwa chakula kwa asilimia 128.
Laurenti amesema hayo alipotoa taarifa ya  akitoa taarifa ya mafanikio ya mamlaka hiyo kwa kipindi cha uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Amesema kuwepo kwa utoshelevu wa chakula nchini unatokana na matumizi sahihi ya mbolea yenye ubora inayozalishwa nchini na inayotoka nje ya nchi.
Pia amesema kwa sasa matumizi ya mbolea ya ruzuku inapatikana kwa wakati na kwa bei inayofahamika kwa unafuu wa mkulima ambaye amejisajili.
Akizungumzia mafanikio kwa wakulima ambao wamesajiliwa amesema ni wakulima milioni 4.8 japo wakulima wengi wanahitajika kuendelea kujisajili ili waweze kutambuliwa zaidi kwa lengo la kupatiwa huduma.
Akizungumzia mbolea ya ndani amesema kuwa kwa sasa matumizi ya mbolea ya ndani ni tani laki 1.58 tofauti na miaka ya nyuma ambapo matumizi ya mbolea ya ndani ilikuwa tani 41.
Akizungumzia madeni kwa wasambazaji wa mbolea ya ruzuku amesema kuwa mpaka sasa Serikali imefaniliwa kulipa madeni kwa asilimia 65 ya madeni yote.

You Might Also Like

Sera mpya ya biashara irahisishe ufanyaji biashara

Afrika ijadili changamoto sekta ya utalii – UN

Italia Kuangazia Fursa Za Uwekezaji Ambazo Hazijatambuliwa

Mafunzo Yatolewa Katika Kongamano La Jotoardhi

Kamati Ya Bunge Yapongeza Usimikaji Mfumo Wa Kidijitali CMA

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tujenge Jumuiya Yenye Mustakabali wa Pamoja kati ya China na Afrika – Wang Yi
Next Article VETA Mtwara Watua Na Mwani Maadhimishilo Ya Miaka 30
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?