MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: NSSF Kutoa Mafao Siku Moja Baada ya Kustaafu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > NSSF Kutoa Mafao Siku Moja Baada ya Kustaafu
Habari

NSSF Kutoa Mafao Siku Moja Baada ya Kustaafu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Danson Kaijage.

DODOMA: MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii NSSF umejipanga kutoa mafao kwa mstaafu siku moja baada ya kupewa barua yake ya kustaafu badala ya kusubiri kulipwa mafao yake kwa siku 60 tangu kustaafu.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi  Mkuu wa Mfuko huo  Masha Mashomba, alipotoa taarifa kwa Waandishi wa Habari kuhusu mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita, kwa miaka minne ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Mashomba amesema hiyo ni kutokana na juhudi na umakini wa mfuko kuhakikisha wastaafu ambao ni wachangiaji wakuu wa mfuko huo wanapostaafu hawapati shida.

Amesema kwa sasa mfuko huo unatoa mafao ndani ya siku 30 tangu anapostaafu mtumishi.

Amesema juhudi za serikali ikiwepo mashirikiano mema na watumishi imewawezesha mfuko huo kuongeza wanachama wapya wanaochangia mapato.

Amesema  wanachama wapya 1,052,176 wameandikishwa Katika kipindi cha miaka minne kilichoanzia Machi 2021 mpaka Februari 2025.

 

 

You Might Also Like

VETA Shinyanga Waja Na Mafunzo Ya Saluni, Mapambo, Urembo

TARURA yaokoa kiasi kikubwa cha fedha kwa kujenga madaraja ya mawe

Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25

Kongani za viwanda kutoa ajira nchini.

Rais Mwinyi Ajionea Mifumo Mbalimbali Banda La Ofisi Ya Waziri Mkuu Sabasaba

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Endeleeni Kuunganisha Mifumo Ya TEHAMA Ya Kisekta – Kakoso
Next Article Samia Asema Mwanamke Anayo Haki Ya Kumiliki Ardhi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Watendaji Wakuu Waagizwa Kuifanya Dira 2050 Kuwa Mwongozo Wa Maamuzi Yao
Habari July 24, 2026
Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?