MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Nyamhokya: Mei Mosi Ni Singida Mwaka Huu 2025
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Nyamhokya: Mei Mosi Ni Singida Mwaka Huu 2025
Habari

Nyamhokya: Mei Mosi Ni Singida Mwaka Huu 2025

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Shani Kibwasali

SINGIDA: RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania ( TUCTA), Tumaini Nyamhokya amesema
Maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi kitaifa kwa mwaka 2025 ijulikanayo kama Mei Mosi yatafanyika mkoani Singida.

Nyamhokya amesema hayo katika kikao cha maandalizi ya maadhimisho hayo na kamati ya maandalizi kuangalia namna sherehe hiyo itakavyofanyika.

⁹

Amesema, ” TUCTA imefurahishwa kwa namna maandalizi yalivyoanza ikiwa pamoja na kupokelewa vizuri na Mkuu wa Mkoa Halima Dendego pamoja na Katibu Tawala wake hivyo ni ishara tosha kabisa mambo yatakuwa sawa,”.

Amesema viongozi wa TUCTA wamejipanga na wako tayari kushirikiana na viongozi wa Mkoa wa Singida kufanikisha sherehe hiyo.

“Ninaamini itakuwa ni Mei Mosi ya Kipekee itakayofanyika. Tuko tayari muda wowote na vikao vyote vitakavyokuwa vinapangwa tutakuwa tayari,

“Na majuma mawili ya mwisho viongozi wa shirikisho tutaweka timu hapa kuhakikisha jambo hili linafanyika kwa ufanisi,” amesema.

Amesisitiza kuwa,”Singida ipo tayari kuwapokea wageni wote wataishi vizuri, wenye hofu ya malazi watalala vizuri, kila kitu kipo sawasawa,”.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dendego amesema watakuwa mwenyeji wa maadhimisho hayo kwa mwaka huu 2025.

Amesema maadhimisho hayo yatafanyika kwenye Uwanja wa Liti uliopo Manispaa ya Singida.

Ameongeza kuwa, sherehe hizo zitatanguliwa na michezo mbalimbali, pia utafanyika utalii wa ndani ya mkoa ili kuonyesha wageni watakaofika mambo mbalimbali, ikiwemo fursa za Kiuchumi na kiuwekezaji.

” Maadhimisho hayo yatapambwa na mambo mbalimbali, na kabla ya kilele kutakuwa na usiku wa Kuku ‘ Kuku Festival’,

” Mashindano ya Magari, Mashindano ya Ngumi, Maonesho Mbalimbali na shughuli zinazofanywa na Wana Singida,” amesema.

Ameeleza pia kutakuwa na burudani mbalimbali zikiwemo ngoma za asili, pamoja na wasanii wakubwa nchini.

You Might Also Like

Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata

Wananchi Wahimizwa Kulinda Maeneo Yaliyohifadhiwa  Kisheria- Kamishna  Wakulyamba

Baraza la uuguzi na ukunga lawakaribisha wenye malalamiko

TEA Kuhakikisha Mazingira Ya Kujifunzia, Kufundishia Yanaboreshwa

Wagonjwa Wenye Maumivu Makali Kupatiwa Tiba Radiolojia MNH

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TRA Kupambana Na Wakwepa Kodi Kupitia Bandari Bubu
Next Article Washauriwa Kutumia Mbegu Zinazokabiliana Na Mabadiliko Ya Tabia Nchi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mgodi Wa Dhahabu Wa Nyanzaga Kunufaisha Wananchi, Ujenzi Wazidi Kupaa
Habari September 23, 2025
Sekta Ya Madini Yazidi Kuchangia Ukuaji Wa Uchumi – Majaliwa
Habari September 23, 2025
Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?