MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: DC Twange Apongeza Wananchi Kuchangia Maendeleo 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > DC Twange Apongeza Wananchi Kuchangia Maendeleo 
Habari

DC Twange Apongeza Wananchi Kuchangia Maendeleo 

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya Ubungo Mkoani Dar es Salaam, . Lazaro Twange amewapongeza wananchi wa Wilaya hiyo kwa kuwa na ari ya kuanzisha miradi ya maendeleo ikiwemo zahanati  katika Mitaa yao kama sehemu ya kuisaidia Serikali kusogeza huduma karibu na wananchi
Twange ametoa pongezi hizo  alipofanya ziara ya kutembelea utekelezajia wa miradi ya sekta ya afya ikiwemo  zahanati ya Msakuzi iliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi kwa gharama ya Sh. Milioni  25, na Manispaa ikiongeza  Sh. Mil 25, hivyo kufanya ujenzi huo ulio hatua ya lenta kugharimu Sh. Milioni 50.
“Serikali inawapongeza wananchi wa Msakuzi kwa uzalendo walioonesha wa kuchangia maendeleo na  kutambua juhudi hizi Halmashauri imetenga milioni 150 kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa zahanati hio ili wananchi waanze kupata huduma ndani ya mwaka wa fedha 2024/2025,” amesema.
Pia ametembelea  mradi wa ujenzi wa wodi ya wazazi na upasuaji katika kituo cha afya Makurumula, Mbezi na Mpigimagohe ambapo miradi yote iko katika hatua mbalimbali za utekelezaji na inatarajiwa kukamilika ndani ya mwaka wa fedha 2024/2025
Amewapongeza viongozi wa Mitaa, Madiwani na watalaam kwa kuendelea kusimamia vyema miradi ya maendeleo huku akiwasisitiza kusimamia ipasavyo miradi hiyo ili ikiamilike kwa wakati na wananchi waanze kupata huduma.
Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Manispaa Dkt. Tulitweni Mwinuka ameshukuru kwa ziara hiyo na kusema  usimamizi wa miradi hiyo utakuwa wa karibu kwani  kukamilika kwa miradi hiyo kutasaidia wananchi kupata huduma za afya karibu na maeneo yao badala ya kutembea umbali mrefu hasa wamama wajawazito
Wananchi wa maeneo hayo kwa nyakati tofauti wameiomba serikali kusimamia miradi hiyo ikamilike kwa wakati ili waweze kupata huduma katika maeneo yao ya karibu

You Might Also Like

Chanzo Cha Bunge Kuridhia Hoja Ya Wanaojifungua Njiti, Kilianzia Hapa

Wafugaji huchakachua maziwa kwa kuongeza mafuta, maji, magadi au mkojo wa ng’ombe

PSSSF MSHINDI WA KWANZA TUZO ZA UANDAAJI BORA MAHESABU ZA NBAA, 2023

Tumeanza Kufanyia Kazi Maelekezo Ya Rais Samia – Bashungwa

VETA Mara Wabuni Mtambo Wa Kuchakata Maji Kwa Samaki Wanaofugwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ridhiwan Kikwete Apongeza Halmashauri Ya Tunduma
Next Article TAKUKURU, Manispaa Ubungo Yawafikia Waendesha Bajaji, Bodaboda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tanzania Na Namibia Kuongeza Juhudi Kukuza Ushirikiano Wa Kiuchumi
Habari May 21, 2025
TDB Yaheshimisha Tasnia Ya Maziwa
Habari May 21, 2025
Dkt. Ndumbaro : Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Imefanikiwa 
Habari May 20, 2025
Senyamule Ahamasisha Ushiriki Wa Vijana Katika Uchaguzi
Habari May 20, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?