MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mafanikio Ya TEA Kwa Serikali Awamu Ya Sita;Miradi Ya Elimu 3,768 Yatekelezwa, Bil. 49.5 Zatumika
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mafanikio Ya TEA Kwa Serikali Awamu Ya Sita;Miradi Ya Elimu 3,768 Yatekelezwa, Bil. 49.5 Zatumika
Habari

Mafanikio Ya TEA Kwa Serikali Awamu Ya Sita;Miradi Ya Elimu 3,768 Yatekelezwa, Bil. 49.5 Zatumika

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

DODOMA: MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Dkt. Erasmus. Kipesha amesema, mamlaka hiyo imefanikiwa kutekeleza miradi 3,768 yenye thamani ya Sh. Bilioni 49.5 katika kipindi cha mika minne ya serikali ya awamu ya sita.

Dkt. Kipesha amesema hay oleo Februari 2025 alipozungumza na Vyombo vya Habari kuelezea mafanikio na mipango yaTEA katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita.

Amesema katika kipindi hicho, mamlaka hiyo imefadhili ujenzi wa vyumba vya madarasa, matundu ya vyoo, miundombinu kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum, nyumba za walimu, mabweni, maabara za sayansi, na majengo ya utawala.

Pia amesema katika mwaka wa fedha 2024/2025, mamlaka hiyo kupitia Mfuko wa Elimu wa Taifa inaousimamia, imepanga kutekeleza miradi 113 yenye thamani ya Sh. Bilioni 11.3, ambayo itanufaisha wanafunzi 29,482.

Kwa maelezo yake, Miradi itakayofadhiliwa katika mwaka wa fedha 2024/2025 inajumuisha: ujenzi wa vyumba vya madarasa 45, ukarabati wa vyumba vya madarasa 11, ujenzi wa matundu ya vyoo 336, ujenzi wa nyumba za walimu 12, ujenzi wa mabweni nane na ununuzi wa vifaa vya TEHAMA kwa ajili ya shule tisa.

Vile vile amesema kiasi cha Sh. Bilioni tatu kitatumika kuimarisha miundombinu ya utoaji wa mafunzo ya amali, ikiwa ni sehemu ya kuwezesha utekelezaji wa mtaala mpya wa elimu nchini.

Akizungumzia michango kutoka kwa wadau, amesema Mamlaka imepokea michango yenye thamani ya Sh. Bilioni 4.11 katika kipindi cha miaka minne, kuanzia mwaka 2021/2022 hadi 2024/2025, pamoja na vifaa vyenye thamani ya Shilingi milioni 269.3.

You Might Also Like

Wizara Ya Kilimo Yajipanga Vema Maonesho ya Kimataifa Ya Biashara

UDSM,YULHO kujenga kituo cha kupima madini

Utafiti Wa Roketi UDOM Uko Mbioni Kukamilika

Kasulu DC Yapongezwa Kwa Kupata Hati Safi

Serikali Yaeleza Mikakati Ya Kuwezesha Vijana Katika Soko La Ajira

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rasmi Leo DSM Kuanza Biashara Saa 24
Next Article Serikali Sekta Binafsi Kuimarisha Huduma Za Fedha Nchini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mbarawa Aagiza Adhabu Kali kwa Madereva, Makondakta Wanaonyanyasa Wanafunzi
Habari February 4, 2026
Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira
Habari February 3, 2026
Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa
Habari February 3, 2026
Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo
Makala February 3, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?