MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: BAADHI YA MATUKIO MAKUBWA YA UKATILI YALIYOFANYIKA MWAKA 2024
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Makala > BAADHI YA MATUKIO MAKUBWA YA UKATILI YALIYOFANYIKA MWAKA 2024
Makala

BAADHI YA MATUKIO MAKUBWA YA UKATILI YALIYOFANYIKA MWAKA 2024

Author
By Author
Share
3 Min Read

JANUARI 3, 2024: Bi mdogo apigwa, alishwa kinyesi

MKAZI wa Buchegera, Serengeti Nyaikongoro Ntumbo (28), anatuhumiwa kumpiga mkewe mdogo na kumlazimisha kula kinyesi.

Mwathirika wa tukio hilo, Eliza Nchagwa (20) amesema tukio hilo limetokea Novemba 21, mwaka jana.

“Mume wangu alinipiga sana hadi nikajisaidia haja kubwa. Akachukua panga, akaniamuru nile kinyesi na nisipofanya hivyo ataniua.

“Sikuwa na cha kufanya kwa kweli, nililazimika kula hadi kumaliza. Kipigo kiliniacha na maumivu makali ya tumbo na mwili,” anasema Eliza kwa sauti ya simanzi.

JANUARI 9,2024  Mume adaiwa kuua mke, akimkata kichwa,viungo

POLISI Wilayani Makete, Mkoani Njombe inamshikilia Juma Kyando (36) kwa tuhuma za mauaji ya mkewe Tumaini Luvanda.

Inadaiwa mtuhumiwa alimchinja na kutenganisha kichwa na kiwiliwili, kisha inadaiwa aliukata mwili huo vipande vipande na kutupa baadhi ya viungo kwenye mto, vingine jirani na nyumba yake.

FEBRUARI 2, 2024: Mjamzito wa mapacha miezi nane achinjwa

Mumewe amtoboa tumbo, atoa mapacha awaua, amkatakata mmoja ampike kama kitoweo, aua mtoto wake mwingine wa miaka miwili

 

SEPTEMBA 7, 2024: Kifo cha utata – ni kada wa chadema aliyedaiwa kutekwa Ali Kibao

JESHI la Polisi limethibitisha taarifa za kuuawa kwa kiongozi wa Chana cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Ally Kibao.

‘’Jana Septemba 7,2024 Jeshi la Polisi lilitoa taarifa juu ya Ally Mohamed Kibao kushushwa kutoka kwenye basi la Tashrif na kuchukuliwa na watu ambao hawakuweza kutambulia na kwamba uchunguzi ulianza baada ya kupokelewa taarifa hiyo. Baada ya kutolewa taarifa za kuonekana mwili wa mtu mwanaume ambaye hakuweza kutambuliwa kwa wakati huo ni mwili wa nani huko Ununio Jijini Dar es Salaam, utambulizi umefanyika kwa mujibu wa taratibu na kubainika ni mwili wa Ally Mohamed Kibao.’’ Inaeleza taarifa ya jeshi hilo.

 

OKTOBA 29, 2024: Baba adaiwa mahari baada ya mwanae kutomzalia mumewe

NOVEMBA 8,2024: Adaiwa kumlewesha mwanafunzi wake , akambaka darasani

NOVEMBA 14, 2024: Tukio la utekaji Dar, laacha maswali tele, mashuhuda wasimulia waliyoyaona, kuyasikia eneo la tukio, mfanyabiashara Tarimo alivyojinasua- Polisi yaanza uchunguzi

Disemba 8, 2024 Mfamasia auawa, mume ahusishwa

MWILI wa mfamasia wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Temeke, Magdalena Kaduma umekutwa umefukiwa pembezoni mwa nyumba aliyokuwa akiishi huku sababu ya kifo chake ikiwa haijulikani na mume akishikiliwa na polisi.

Inadaiwa kuwa tangu alipoondoka nyumbani kwake Desemba 4, mwaka huu kuelekea kazini kwake, hakuonekana nyumbani hadi juzi saa 9:00 alasiri ndugu zake na wajumbe wa Mtaa Hondogo, Kata ya Kibamba, Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam walipobaini mwili wake ukiwa umefukiwa meta 15 kutoka ilipo nyumba yake.

Imeandaliwa Na Lucy Ngowi

You Might Also Like

Waziri Kombo: Ushirikiano Wa China, Tanzania Umeleta Maendeleo Ya Kijani

Kinywaji Cha China Chavuka Mipaka Chatua Tanzania

Ushirikiano Wa Afrika, China Kuonyesha Mwelekeo Maendeleo Ya Dunia

Mawasiliano Kati ya China, Afrika Juu Ya Mtazamo Wa Maandishi Ya Kifasihi

Tujenge Jumuiya Yenye Mustakabali wa Pamoja kati ya China na Afrika – Wang Yi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article MATUKIO YA MISIBA KWA WATU MAARUFU YALIYOJIRI KUANZIA JANUARI 2024, HADI DISEMBA 2024
Next Article BAADHI YA MATUKIO YA KISIASA YALIYORIPOTIWA KUANZIA JANUARI 2024 HADI DISEMBA 2024;
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wakazi Wa Ntyuka Wataka Kiongozi Mchapakazi
Habari August 1, 2025
Kisaro Ahojiwa Kuhusu Migogoro ya Ardhi,  Mwinje Ajitosa na Suluhisho la Miundombinu na Umiliki wa Ardhi
Habari August 1, 2025
Rais Samia Aipa Neema Miradi Ya Kuzalisha Umeme Iringa
Habari August 1, 2025
Malecela: Nitakuza Vipaji, Nitafutia Vijana Ajira Dodoma Mjini
Habari July 31, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?