MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Nishati Safi Ya Samia Yawafikia Wanawake chalinze
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Nishati Safi Ya Samia Yawafikia Wanawake chalinze
Habari

Nishati Safi Ya Samia Yawafikia Wanawake chalinze

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
PWANI: “SASA mtakwenda kupika chakula kwa haraka na kwa usafi na hii itasaidia katika shughuli zenu kwa pamoja tutamuunga mkono Rais  Samia Suluhu Hassan kwenye uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya kupikia, ambayo italinda afya zenu pia,”.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi Ajira na Wenye Ulemavu,  Ridhiwani Kikwete ambaye pia ni mbunge wa Chalinze amesema hayo wakati wa ugawaji wa majiko ya gesi 118 kwa mamalishe 15.
Ridhiwani amesema lengo kubwa la kugawa majiko hayo  ni kuunga mkono juhudi za Rais Samia katika  kutunza mazingira na kuwafanya wananchi kuondokana na matumizi ya nishati chafu.
Naye Ofisa Maendeleo ya Jamii na Mratibu wa dawati la Jinsia, Halmashauri ya Chalinze, Recho Mnguruta amesema  majiko hayo yatakwenda kuwasaidia wanawake wajasiriamali kuondokana na  kutumia kuni na mkaa.
Mkazi Lwa Msata Lilian Skawa amemshukuru Mbunge wa Jimbo hilo Ridhiwani kwa kuwapatia majiko hayo ambayo yatawarahisishia kwenye kazi yao kupika kwa haraka na kuwapatia wateja wao chakula cha moto muda wote.
Amesema kipindi cha mvua walikabiliana na changamoto ya mkaa kutokana na kupatikana kwa shida, hivyo kwa sasa wanakwenda kuwa na mabadiliko ya kupika kwa wakati chakula na kwa hali ya Usafi.

You Might Also Like

UDSM  Kujenga Jengo La Kisasa La Bil 8.3

DC Atoa Wito kwa Tume ya Kurekebisha Sheria Kuzingatia Sheria Ndogondogo za Halmashauri

Michezo Yapunguza Uhalifu Dodoma

Wanafunzi, Watafiti, Wanataaluma Kujadili Dini, Utamaduni na Maisha ya Kisasa

Shule 216 Za Serikali Zatumia Nishati Safi Ya Kupikia – Kapinga

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wamiliki Migodi Wapewa Siku 30 Kufanya Usajili
Next Article TANESCO Tunathamini Wadau Wa Maendeleo- Nyamo-Hanga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?