MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TPHPA Yaelekeza Wakulima Kutumia Viuatilifu Kwa Usahihi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TPHPA Yaelekeza Wakulima Kutumia Viuatilifu Kwa Usahihi
Habari

TPHPA Yaelekeza Wakulima Kutumia Viuatilifu Kwa Usahihi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu (TPHPA), imekuwa ikielekeza wakulima namna ya kutumia viuatilifu kwa usahihi kwa kuwa wakati mwingine huchanganya viuatilifu vya magonjwa na vya wadudu hivyo kupunguza ufanisi.
Mkurugenzi Mkuu wa TPHPA, Profesa Joseph Ndunguru ameeleza hayo kwenye kongamano la tisa la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu pamoja na maonesho linalomalizika leo jijini Dar es Salaam.
“Kwa mfano katika msimu wa kilimo uliopita tuliamua ugawaji wa kiuatilifu cha sulphur kwa wakulima wa korosho mikoa ya Lindi na Mtwara lazima uendane na mafunzo.
” Kwa hiyo wakati viuatilifu vinagawiwa timu kutoka TPHPA ilikuwa sambamba ikielekeza namna ya kutumia viuatilifu, imeleta tija hiyo ni endelevu tunaendelea kwa mazao mengine,” amesema.
Pia ameeleza kuwa mamlaka hiyo imekuwa ikichukua sampling ya mazao kwenye masoko ya ndani  lakini pia kwenye mashamba ya wakulima kabla hayajaenda sokoni ili kuhakikisha kwamba mazao yale hayana masalia ya viuatilifu.
Amesema wanafanya hivyo kupunguza athari kwa binadamu lakini pia wanafanya na mafunzo ambayo mpaka sasa wamemaliza Zanzibar, Mbeya, Dodoma, Dar es Salaam na Iringa, wanaendelea na mikoa mingine.
Awali amesema mamlaka hiyo moja ya kazi yao ni kusimamia matumizi salama ya viuatilifu ili kulinda afya za walaji, wanyama na mazingira.
Amesema wanatoa mafunzo ya matumizi sahihi na salama ya viuatilifu kwa wauzaji wa bidhaa hiyo kwa kuwa ipo kisheria.
“Mtu kabla hajaingia kwenye biashara ya kuuza viuatilifu lazima apate mafunzo,” amesema.

You Might Also Like

REA Kusambaza Majiko Banifu 10,650 Mkoa Wa Pwani

UDSM  Kujenga Jengo La Kisasa La Bil 8.3

Walimu Kupatiwa Mafunzo ya Tehama

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota

Majaliwa Awaagiza Wahandisi Kuzingatia Miiko, Maadili  Ya Taaluma Yao

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Profesa Ndunguru: Mabadiliko Sekta ya Kilimo Yanaenda Sambamba na Uwekezaji Katika Utafiti
Next Article Ndunguru: Mabadiliko Ya Tabianchi Yanachangia Kuwepo Kwa Magonjwa, Wadudu Kwenye Mazao
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vidukari Hatari Vyafuatiliwa Mikoa 17 Kulinda Zao la Mpunga
Makala June 5, 2026
KARIBU ESCAPE LODGE SERENGETI – NYUMBA YAKO YA KIFAHARI KATIKATI YA UFALME WA WANYAMAPORI
Habari June 5, 2026
Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
Waraibu Wa Dawa Za Kulevya 85,425  Wapatiwa Huduma Ya Tiba Nchini Kwa Mwaka 2025
Habari May 29, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?