MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais Samia Kuzindua Mfuko wa Mikopo Wenye Kianzio Cha Sh. Bilioni 2.3
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rais Samia Kuzindua Mfuko wa Mikopo Wenye Kianzio Cha Sh. Bilioni 2.3
Habari

Rais Samia Kuzindua Mfuko wa Mikopo Wenye Kianzio Cha Sh. Bilioni 2.3

Author
By Author
Share
2 Min Read

Kongamano La STICE Dar

Na Lucy Ngowi

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua rasmi mfuko wa mikopo wenye kianzio cha Sh. bilioni 2.3 kwa ajili ya kusaidia ubidhaishaji na ubiasharishaji wa bunifu na teknolojia zinazobuniwa na vijana wa Kitanzania.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema hayo Katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliohusu Kongamano la Tisa la Kitaifa la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (STICE), litakalofanyika Dar es Salaam.

Profesa Mkenda amesema Rais Samia pia atakabidhi hundi yenye thamani ya Sh. bilioni 6.3 kwa watafiti 19 katika masuala ya mabadiliko ya tabia nchi ikiwemo nishati safi ya kupikia.

“Pia Samia atawatambua na kutoa tuzo maalumu kwa wanasayansi na wabunifu ambao matokeo ya kazi zao yamechangia kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kijamii, ndani na nje ya nchi,”amesema.

Amesema kabla ya hafla ya ufunguzi wa kongamano hilo, Rais Samia atapata fursa ya kutembelea maonesho ili kujionea baadhi ya matokeo ya utafiti na ubunifu ambayo yamechangia katika kubadili mfumo wa kiuchumi na kijamii hapa nchini.

“Hii ni fursa adhimu kwa watafiti na wabunifu nchini kuthibitisha mchango wa sayansi, teknolojia na ubunifu katika maendeleo ya nchi yetu, hivyo ninawaasa washiriki kwa wingi katika maonesho hayo,”amesema.

Amewaalika watanzania na wadau mbalimbali kutoka sekta ya umma na binafsi, ndani na nje ya nchi, kushiriki Kongamano hili la STICE kwani ushiriki wao ni muhimu katika kuleta mawazo na mikakati mipya, kuimarisha utafiti na ubunifu, na kuhakikisha kuwa matokeo ya utafiti na ubunifu yanajibu mahitaji na kutatua changamoto za maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

88

Kongamano hilo linalofanyika kila mwaka chini ya uratibu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) lenye lengo la kuwaleta pamoja watafiti, wabunifu, na wadau kutoka sekta mbalimbali, ndani na nje ya nchi, ili kujadili, kubadilishana uzoefu na kuweka mikakati ya pamoja ya kuimarisha mchango wa sayansi, teknolojia na ubunifu katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

 

 

 

You Might Also Like

Maandalizi Mei Mosi Yapamba Moto Singida

Uzalishaji wa chuma kuanza nchini 

Waziri Mkuu Aagiza Kuimarisha Ufuatiliaji Na Tathmini Kuleta Maendeleo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ajiandikisha Kijijijni Nandagala

Serikali Inatoa Kipaumbele Kufikisha Umeme Taasis Zinazotoa Huduma Kwa Jamii- Kapinga

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Trump Ashinda Uchaguzi Marekani
Next Article Rafiki Mkubwa wa Trump, Elon Musk atanufaika vipi baada ya kumuunga mkono?  
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Uongozi CHADEMA Kanda Ya Kati Upo Imara
Habari May 18, 2025
Msisubiri Kupewa Amri, Ufanyaji Usafi Kwenye Maeneo Yenu – Lugendo
Habari May 18, 2025
Akili Bandia Yachochea Ushirikiano Kati Ya China, Afrika
Makala May 18, 2025
Madaktari Toka China Waleta Matumaini Barani Afrika
Makala May 16, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?