MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: ATCL Yaanzisha Safari Za Moja Kwa Moja, Dubai Na Zanzibar
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > ATCL Yaanzisha Safari Za Moja Kwa Moja, Dubai Na Zanzibar
Habari

ATCL Yaanzisha Safari Za Moja Kwa Moja, Dubai Na Zanzibar

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL), imeanzisha safari za moja kwa moja za Dubai na Zanzibar, zitakazofanyika mara tatu kwa wiki, siku za Jumatano, Ijumaa na Jumapili.
Hayo yameelezwa katika taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano kwa Umma cha ATCL.
Taarifa hiyo inasema kutokana na kuanzishwa kwa safari hiyo,  imezindua ofa ya “Safiri Zaidi, Lipa Kidogo” kwa abiria wake wanaosafiri kati ya Zanzibar na Dubai pia Dar es Salaam na Johannesburg, Afrika Kusini.
“Kupitia ofa hii, Wateja wa Air Tanzania wanaosafiri kati ya Dubai na Zanzibar au Dar es Salaam na Dubai watafaidika na punguzo la asilimia 20 a nauli lililoanza Oktoba 30, 2024,” imesema taarifa hiyo.
Imeeeza kwamba uzinduzi wa Kituo hichoi kipya cha Dubai na Zanzibar, unavutia utalii na ushindani wa biashara , pia unadhihirisha uwezo wa kampuni hiyo katika kuhudumia masoko ya kimataifa ambayo yanatoa fursa nyingi za biashara na utalii kwa wateja.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, katika kuwajali wateja wake, abiria wa daraja la kawaida wameongezewa idadi ya mabegi hadi kufikia matatu yenye uzito usiozidi kilo 23 kwa kila begi na mabegi manne kwa daraja la biashara, kuanzia Oktoba 30, mwaka huu.
Katika hatua nyingine kampuni hiyo imerejesha safari zake za Johannesburg nao pia watanufaika na ofa “Safiri Zaidi, Lipa Kidogo” wakiwa kwenye ndege mpya za kisasa B737-9 Max kwa hadhi sawa na safari za kimataifa.

You Might Also Like

Magonjwa ya misuli yaongezeka mahala pa kazi-OSHA

Rais Dkt Samia Awaaapisha Mawaziri, Awaaagiza Kutumia Rasilimali Za Nchi Kupata Fedha

Majaliwa: Jiungeni NHIF Kupata Matibabu Ya Uhakika

Kichina Chatamba UDSM: Walimu Watanzania, Wachina Wapewa Tuzo kwa Umahiri

VETA Yatahadharisha Changamoto ya Kuzidisha Uchanganyaji wa Chakula Cha Mifugo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Makalla Aeleza Jinsi CCM Ilivyosimamisha Nchi Mchakato Kura Za Maoni
Next Article Muhogo, viazi kuongezewa tija kwenye uzalishaji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mkutano wa Mawaziri wa SADC Wahitimishwa Pretoria
Habari March 13, 2026
Tanzania, Afrika Kusini Zakubaliana Kuharakisha Makubaliano ya Ushirikiano
Habari March 13, 2026
Vita Mashariki ya Kati Vyatikisa Uchumi wa SADC, Mawaziri Watakiwa Kuchukua Hatua
Habari March 12, 2026
Mamlaka Za Mitaa Ondoeni Urasimu Katika Kuanzisha Biashara Mpya-Waziri Mkuu
Habari March 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?