MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ridhiwani Kikwete Ajiandikisha Kupiga Kura Kijijini Msoga
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ridhiwani Kikwete Ajiandikisha Kupiga Kura Kijijini Msoga
Habari

Ridhiwani Kikwete Ajiandikisha Kupiga Kura Kijijini Msoga

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Apongeza Kasi ya Uandikishaji Halmashauri Chalinze, Mkoa wa Pwani
Ashukuru Vituo Kuongezwa Kutatua Tatizo La Umbali
Na Mwandishi Wetu
PWANI: WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete amefika kijijini Msoga, Chalinze kujiandikisha ili aweze kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vijiji.
Uchaguzi huo utafanyika Novemba 27, 2024. Ridhiwani amejiandikisha kutimiza takwa la katiba ili apate nafasi ya kupiga kura.
Akizungumza baada ya kujiandikisha, Ridhiwani ameishukuru serikali  kwa kuongeza vituo vya kujiandikisha baada ya wananchi kulalamika  kwa kutembea umbali mrefu kufuata kituo cha kujiandikisha.
“Naishukuru na kuipongeza Serikali kwa uamuzi wa kutuongezea kituo.
“Kuna watu wanatoka Chalinze Mzee, Chahua walilazimika kutembea umbali mrefu kufuata kituo cha kujiandikisha. Lakini kwa uamuzi huu  tunatarajia namba itaongezeka.
“Na matarajio ya wananchi kupata haki yao ya kupiga kura yapatikana. Nakupongeza msimamizi kwa niaba ya tume na serikali ,” amesema.
Pia Ridhiwani amepongeza hali ya utulivu katika kipindi hiki cha uandikishaji, kwa kusema, “Amani ni tunu yetu, na muhimu kujitambulisha nayo kwa vitendo na Watanzania wanathibitisha hili kwa vitendo,”.
Amesema uandikishwaji huo ulizinduliwa Oktoba 11, 2024 na Rais Samia Suluhu Hassan, umekuwa na mafanikio makubwa ambapo hadi sasa halmashauri ya Chalinze imefikia zaidi ya asilimia 80 na inaendelea.
Pia Kimkoa, Wilaya ya Mkuranga ikiendelea kufanya vizuri katika uandikishaji.
Amesema wananchi wamesifu  taratibu zilizoandaliwa, usimamizi na sasa wako tayari kwa hatua iliyo mbele ya kuwachagua viongozi wa serikali.

You Might Also Like

TEA Mshindi wa Kwanza Maonyesho Ya Mfuko wa Utamaduni

Posta Yaleta   Usafiri Wa Kitalii Ndani Ya Sabasaba

Hivi Ndivyo Vipaumbele Vya Maliasili

Benjamin Mkapa Yaanzisha Mfuko Kuchangia Wagonjwa Wa Upandikizaji Figo,Uloto Wasiokuwa Na Uwezo

Ridhiwani Aipongeza TEA kwa Kuimarisha Elimu Nchini

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wakumbushwa Kufuata Utaratibu Wa Kuboresha, kurekebisha sheria 
Next Article Ridhiwani Aongoza Majadiliano Ya Taarifa Ya Utekelezaji Wa Majukumu PSSSF
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Watendaji Wakuu Waagizwa Kuifanya Dira 2050 Kuwa Mwongozo Wa Maamuzi Yao
Habari July 24, 2026
Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?