MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: VETA yawafikia madereva ‘Boda boda’
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > VETA yawafikia madereva ‘Boda boda’
Habari

VETA yawafikia madereva ‘Boda boda’

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), imetangaza fursa ya mafunzo ya udereva wa  pikipiki maarufu kama bodaboda.
Katika taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo imeeleza kuwa, mafunzo hayo yatatolewa kwa gharama ya punguzo ya  sh 30,000 kutoka sh 120,000 ya awali.
“Mafunzo yatakayotolewa ni usalama barabarani, matumizi ya vifaa kinga, udhibiti wa mwendo na matengenezo ya kawaida ya pikipiki , uendeshaji wa dharura na mbinu za kukabiliana na ajali .
” Sheria za udereva na usalama wa abiria, usimamizi wa kifedha na ujasiriamali,” imesema taarifa hiyo.
Taarifa imetaja mikoa itakayotoa mafunzo hayo kuwa ni Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma, Manyara, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Tanga, Arusha na Kilimanjaro.
Mafunzo hayo yataanza Oktoba 20 mwaka huu katika vyuo mbalimbali katika mikoa husika.

You Might Also Like

VETA Mikumi Yatengeneza Mashine Ya Kuchakata Majani Ya Mifugo

Uwekezaji wa TIB Wachangia Kuongezeka kwa Ajira

Mbogamboga Na Vitunguu Vyaingiza Sh. Milioni 370 Kwa Miaka Minne

Ridhiwani  Azindua Hafla ya Kuupandisha Mwenge, Mlima Kilimanjaro

Mtanda Akagua Maendeleo Ya Mradi YA Hoteli Ya Nyota Tano Ya NSSF

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Sierra Leone Yaipongeza TARURAUjenzi Wa Madaraja, Barabara Za Mawe
Next Article TARI yapongezwa kwa kuwa na teknolojia bora za kilimo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini
Habari April 17, 2026
Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA Njombe
Habari April 17, 2026
Ufaulu  Wa   Somo La Hisabati  Shida Ya Taifa- Wanu
Habari April 16, 2026
Ofisi ya Rais Mipango Yaomba Bilioni 144.85 kwa Bajeti 2026/27
Habari April 16, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?