MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: VETA yawafikia madereva ‘Boda boda’
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > VETA yawafikia madereva ‘Boda boda’
Habari

VETA yawafikia madereva ‘Boda boda’

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), imetangaza fursa ya mafunzo ya udereva wa  pikipiki maarufu kama bodaboda.
Katika taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo imeeleza kuwa, mafunzo hayo yatatolewa kwa gharama ya punguzo ya  sh 30,000 kutoka sh 120,000 ya awali.
“Mafunzo yatakayotolewa ni usalama barabarani, matumizi ya vifaa kinga, udhibiti wa mwendo na matengenezo ya kawaida ya pikipiki , uendeshaji wa dharura na mbinu za kukabiliana na ajali .
” Sheria za udereva na usalama wa abiria, usimamizi wa kifedha na ujasiriamali,” imesema taarifa hiyo.
Taarifa imetaja mikoa itakayotoa mafunzo hayo kuwa ni Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma, Manyara, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Tanga, Arusha na Kilimanjaro.
Mafunzo hayo yataanza Oktoba 20 mwaka huu katika vyuo mbalimbali katika mikoa husika.

You Might Also Like

TARI Yanufaisha Wadau Wa Kilimo, Ugunduzi Wa Mbegu Bora Na Za Kisas

Atoa Maelekezo Kwa Chuo Cha Hombolo Kuwajengea Uwezo Viongozi Wa Mitaa Na Vijiji -Kapinga

TEA Yakabidhi Miradi Iliyokamilika Wilayani Mtama, Masasi

Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja

Ridhiwani Kikwete aziita sekta binafsi kushirikiana na serikali,  apokea vifaa tiba na madawati kutoka NMB

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Sierra Leone Yaipongeza TARURAUjenzi Wa Madaraja, Barabara Za Mawe
Next Article TARI yapongezwa kwa kuwa na teknolojia bora za kilimo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?