MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ridhiwani Kikwete aziita sekta binafsi kushirikiana na serikali,  apokea vifaa tiba na madawati kutoka NMB
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ridhiwani Kikwete aziita sekta binafsi kushirikiana na serikali,  apokea vifaa tiba na madawati kutoka NMB
Habari

Ridhiwani Kikwete aziita sekta binafsi kushirikiana na serikali,  apokea vifaa tiba na madawati kutoka NMB

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu

PWANI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amepokea msaada wa vifaa tiba kwa ajili ya Hospitali ya Msoga na madawati 120 kwa ajili ya Shule za Msingi mbili za Chalize mkoani Pwani.

Ridhiwani Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze ameshukuru kwa msaada huo uliotolewa na Benki ya NMB Chalinze na kushauri sekta binafsi kushirikiana na serikali kutatua changamoto mbalimbali za wananchi.

 

“Kwa mujibu wa takwimu za makusanyo na mapato, NMB- Chalinze ndiyo tawi namba moja Tanzania kwa hiyo maana yake NMB wanapozungumza tunapata Bilioni 500 ni pamoja na mchango mkubwa wa Chalinze,” amesema.

Amesema kwa ushirikiano wa serikali na sekta binafsi kutakuwa na uchumi endelevu, pia sekta hizo binafsi zinarudisha kwa wananchi kile wanachokipata.

Amesema Katika tukio hilo wengine walioshuhudia ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, Mkurugenzi wa Halmashauri Ramadhani Possi na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze Hassani Mwinyikondo.

Katika utoaji wa msaada huo NMB iliongozwa na Mkuu wa Idara ya Mitandao ya Matawi na Mauzo, Renatus Richard.

 

 

You Might Also Like

CMA yawataka wafanyakazi walioachishwa kazi kuwasilisha mgogoro ndani ya muda

Wananchi Wafurika Banda la REA Kupata Majiko Ya Bei Nafuu Maonesho ya Madini Geita

Chalamila Akabidhi milioni 100, saruji Kukamilisha Zahanati

Wachimbaji Wadogo Wafikiwa

BoT: Tumia Taasisi za Fedha Halali kwa Usalama wa Kifedha

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia Afungua Barabara Ya Mbinga-Mbamba Bay Yenye Km 66-Ruvuma
Next Article Ubovu wa Kituo cha Daladala Bunju Sokoni Watesa Abiria
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Habari March 10, 2026
Mtaka, Ndunguru Wakubaliana Ujenzi wa Maabara ya Kimkakati Njombe
Habari March 10, 2026
Wataalamu wa Fedha SADC Wakutana Pretoria Kujadili Bajeti
Habari March 9, 2026
TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?