MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Halmashauri Zahimizwa Kujenga Viwanda Vya Michezo.
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Halmashauri Zahimizwa Kujenga Viwanda Vya Michezo.
Habari

Halmashauri Zahimizwa Kujenga Viwanda Vya Michezo.

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI  wa Utamaduni, Sanaa na Michezo,  Dkt. Damas Ndumbaro amesema wizara hiyo kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ipo katika mkakati wa kuhakikisha kila halmashauri inakua na kituo cha michezo kitakachojumuisha michezo yote.
Amesema   mkakati huo utakapokamilika utaletwa katika bajeti ya mwakani na utaanza kutekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo sekta binafsi.
 Dkt Ndumbaro ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma leo Septemba 6, 2024 wakati akijibu swali la mbunge wa viti maalum,  Stella Simon Fiyao aliyetaka kujua lini Serikali itajenga uwanja wa michezo wilayani Ileje.
 Dkt. Ndumbaro ameongeza kuwa Serikali inaendelea na ukarabati wa viwanja vya Uhuru na Benjamin Mkapa  pia ujenzi uwanja wa Arusha wa mpira wa miguu (Arusha Stadium) na kukarabati viwanja vingine vitano  vya mazoezi kwa ajili ya mashindano ya CHAN 2025 na AFCON 2027.
Aidha, ameishauri Halmashauri na Wilaya ileje kutenga fungu katika bajeti yake ili kutekeleza mradi ya ujenzi wa uwanja wa michezo kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo akiongeza kuwa Wizara ipo tayari kuwapatia wataalam wa miundombinu ya michezo wa kuwashauri  kabla na wakati wa utekelezaji wa ujenzi wa mradi huo.
Katika hatua nyingine amezipongeza Halmashauri za Wilaya ya Kinondoni (Uwanja wa KMC Stadium), Bukoba Mjini (Uwanja wa Kaitaba), Nyamagana (Uwanja wa Nyamagana), Halmashauri ya Mji-Babati (Tanzanite Stadium) na Namungo (Majaliwa Stadium) kwa kuonesha mfano bora na wa umiliki na uendeshaji wa viwanja vya michezo vya kisasa.

You Might Also Like

Wanafunzi Wawili Wajiteka Ili Wapate Pesa Toka Kwa Wazazi wao

Watu Zaidi Ya 3500 Wapatiwa Huduma Ya Kisheria Wizara Ya Katiba Na Sheria

Fanyeni kazi kwa bidii kulinda taswira ya TARURA

Rais TUCTA Apongeza Mfuko Wa NSSF Kwa Ongezeko La Thamani Hadi Trilioni 9

Kamati Ya Bunge  Yaridhishwa Na Ujenzi Wa Jengo La Kituo Cha Zimamoto, Mtumba

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mongela Ajiridhisha Ushindi wa Kishindo , Uchaguzi Serikali za Mitaa,Uchaguzi Mkuu CCM
Next Article Waziri Mkuu Majaliwa aitaka uchukuzi lusimamia kwa karibu TRC
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Viongozi Watakiwa Kuweka Haki Mbele Katika Kusimamia Masuala ya Wafanyakazi — COWTU (T)
Habari November 25, 2025
Huduma za Maktaba Zabadilika: Malipo Kidijitali, Usomaji Mtandaoni
Habari November 25, 2025
Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?