MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Polisi Yatoa Onyo Kali Kwa Waganga wa Tiba Mbadala
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Polisi Yatoa Onyo Kali Kwa Waganga wa Tiba Mbadala
Habari

Polisi Yatoa Onyo Kali Kwa Waganga wa Tiba Mbadala

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa onyo kali Kwa waganga wa tiba mbadala kuacha kufanya ramlo chonganishi na kuacha tabia ya kuwapa masharti baadhi ya wateja wao namma ya kupata utajiri.

Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo,Jumanne Muliro amesema hayo Leo Dar es Salaam na kuongeza kuwa waganga watakaobainika hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Amesema tayari Jeshi hilo limefanya kikao na waganga wanaojulikana kama wa tiba mbadala 80 Kwa lengo la kuwaelimisha kuacha kujihusisha au kufanya ramli chonganishi ikiwa ni pamoja na kuacha tabia kuwapa masharti baadhi ya wateja wao.

Amesema masharti wanayowapa wateja wao kuwa ili wafanikiwe kwenye biashara na kupata utajiri kuwa lazima wafanye vitendo vya kulawiri au kuwabaka watoto wadogo.

“Katika hili Jeshi limetoa tahadhari na kuwaonya vikali na watakaobainika hatua zitachukuliwa,” amesema.

Muliro amesema Jeshi hilo linaendelea kushuhulikia matukio ya kikatili dhidinya watoto na wanawake yanayohusisha vitendo vya kulawiri na kubaka ambavyo wakati mwingine husababisha waganga kupoteza maisha.

You Might Also Like

Waziri Ridhiwani: Vyama Vya Wafanyakazi, Nguzo Ya Mahusiano Mema Mahali Pa Kazi

Bodi Ya Wadhamini Ya NSSF Yaridhishwa Na Uwekezaji Wa Ubia Na Jeshi La Magereza

Mfumo Wa Kuwabana Wachafuzi Wa Choo umetengenezwa

Waziri Mkuu Mstaafu Pinda Atoa Neno Kwa Vijana, Maadhimisho Miaka 30 VETA

Mbunifu Alilia Uwepo Wa Miongozo Kwa Wagunduzi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Polisi wazuia uhalifu Tanganyika Packers
Next Article Samia akisalimiana na Rais wa China
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

UDSM Yatafiti Ndege Nyuki ‘Drone’ Inayopunguza Uchafuzi Wa Hewa Ukaa
Habari May 29, 2025
Mtafiti UDSM Atafiti Mimea Ya Asili Kudhiti Fangasi Kwenye Mimea
Habari May 29, 2025
Ridhiwani Afanya Mazungumzo Na Balozi Wa China Nchini, Mingjian
Habari May 29, 2025
Kafulila: Deni La Taifa Ni Himilivu
Habari May 29, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?