MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Watakiwa kufanya utafiti kubaini chanzo cha makosa ya walimu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Watakiwa kufanya utafiti kubaini chanzo cha makosa ya walimu
Habari

Watakiwa kufanya utafiti kubaini chanzo cha makosa ya walimu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi wetu
MOROGORO: MENEJIMENTI ya Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) imeagizwa kufanya utafiti kubaini chanzo cha makosa ambayo yanawakumba walimu na kuwasababishia kuadhibiwa.
Kamishna wa tume hiyo, Mariam Mwanilwa amesema hayo alipokuwa akitoa maoni yake kabla ya kufungwa kwa mkutano wa siku tatu wa Tume hiyo uliolenga kuamua masuala mbalimbali ikiwemo rufaa za walimu.
Mwanilwa amesema katika kipindi cha siku tatu wamesikiliza na kutoa uamuzi wa jumla ya rufaa 16, kati ya hizo sita waliombwa kufika mbele ya tume kwa ajili ya kuongeza maelezo katika utetezi wao wa maandishi, rufaa hizo ziliwasilishwa kwa njia ya maandishi.
Amesema kuwa katika idadi hiyo walimu waliozaliwa kati ya mwaka 1980 hadi 1988 waliongoza kwa kutuhumiwa idadi yao ikiwa 11, waliozaliwa kati ya 1971 hadi 1979 walikuwa wawil, na mwaka 1990 hadi 1992 walikuwa wawili.
Amesema kwa kuangalia takwimu hizo ufanyike utafiti kuangalia aina ya makosa, umri na jinsi ambayo walimu wamekuwa wakituhumiwa kuyafanya zaidi.
Aidha, Kamishna huyo ameshauri kuongeza nguvu zaidi katika kutoa elimu kwa walimu kuhusu masuala mbalimbali yakiwemo ya nidhamu ili kuwaepusha kufanya makosa ambayo yanasababisha baadhi yao kufukuzwa kazi.
Naye Kamishna Jane Mtindya amesema  hatua hiyo ya kufanya utafiti ni ya msingi kwani hata miaka ya nyuma walishaagiza kufanyika ambapo ilibainika kuwa vijana wengi waliozaliwa miaka ya 1990 waliamua kusomea Kada ya Ualimu kwa lengo la kupata mikopo ya elimu ya juu iliyokuwa ikitolewa na Serikali.

You Might Also Like

Ridhiwani akutana na Mtendaji Mkuu ATE

TARI Kihinga Yainua Kilimo Cha Michikichi Kigoma

Katambi Aagiza Ushindani Wa Haki Ili Kulinda Bei, Walaji

TARI Yaleta Mapinduzi Kilimo cha Minazi

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kapinga : Bei ya umeme Tanzania ni nafuu kuliko nchi nyingine Afrika Mashariki
Next Article Rais Samia aungwa mkono na Tughe, watalii 800 watua Ngorongoro
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?