MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TPHPA yaonyesha ufanisi mkubwa udhibiti wa panya, kwelea kwelea
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TPHPA yaonyesha ufanisi mkubwa udhibiti wa panya, kwelea kwelea
Habari

TPHPA yaonyesha ufanisi mkubwa udhibiti wa panya, kwelea kwelea

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), imetunukiwa tuzo ya mshindi wa kwanza kutokanana mchango wake kiuchumi na kijamii.
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa tuzo hizo kwa Taasisi zilizoonyesha juhudi katika kuwapatia jamii maendeleo endelevu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo, TPHPA  imeonyesha ufanisi wa hali ya juu katika kudhibiti balaa la panya.
Taarifa inasema TPHPA imedhibiti baa la panya  katika mikoa 16, wilaya 54, kata 540, na vijiji 1,395.
“Juhudi hizi zimesaidia wakulima wapatao 58,886 kwa kuokoa jumla ya ekari 895 za mazao yao, hivyo kuimarisha usalama wa chakula na kuleta athari chanya kwa uchumi wa nchi.
“Pia TPHPA ilifanya kazi kubwa katika kudhibiti ndege aina ya kwelea kwelea. Zaidi ya ndege milioni 80 waliovamia mazao katika halmashauri 24 walikabiliwa vilivyo,” imesema taarifa hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo udhibiti huo umewezesha wakulima kuokoa takriban tani 100,000 za nafaka, ikiwa ni pamoja na mpunga, uwele, na mtama, hivyo kuondoa hatari kubwa ya upungufu wa chakula.
Katika tukio hilo, Mamlaka iliwakilishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Profesa Andrew Temu, na Mkurugenzi Mkuu, Profesa Joseph Ndunguru, ambao walipokea tuzo hiyo kwa niaba ya Mamlaka.
“Tuzo hii sio tu inatambua mafanikio ya TPHPA bali pia inasisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya taasisi mbalimbali katika kufikia malengo ya pamoja.
“Kwa kupokea tuzo hii, Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania imejidhihirisha kama mfano wa kuigwa katika juhudi za kuboresha maisha ya wananchi na kuendeleza uchumi wa nchi,” imesema taarifa hiyo.

You Might Also Like

Wanazuoni Kujadili   Dira  Itakayojenga  Uchumi Unaofikia   Dola Trilioni Moja

Tanzania Ipo Tayari Kwa Mazungumzo Ya Urejeshwaji Malikale

Tutuba: Noti Mpya Kuanza Kutumika Februari Mosi mwaka huu

𝐓𝐅𝐒 Y𝐚𝐧𝐝𝐚𝐚 M𝐤𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 W𝐚 M𝐢𝐚𝐤𝐚 1𝟎 Ku𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐳𝐚 N𝐚 K𝐮𝐡𝐢𝐟𝐚𝐝𝐡𝐢 M𝐢𝐬𝐢𝐭𝐮 Ya Mi𝐤𝐨𝐤𝐨 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐁𝐚𝐫𝐚

Wanawake Wang’aa Mchakato Uchaguzi Mkuu 2025

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya SGR
Next Article Serikali Kuendelea Kuboresha Sheria za Ulinzi wa Watoto
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Fema Mining & Drilling Mfano wa Kuigwa – Musukuma
Habari September 23, 2025
Mgodi Wa Dhahabu Wa Nyanzaga Kunufaisha Wananchi, Ujenzi Wazidi Kupaa
Habari September 23, 2025
Sekta Ya Madini Yazidi Kuchangia Ukuaji Wa Uchumi – Majaliwa
Habari September 23, 2025
Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?