MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tigo yawafikia wakulima, wafugaji. Wavuvi nanenane Dodoma
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tigo yawafikia wakulima, wafugaji. Wavuvi nanenane Dodoma
Habari

Tigo yawafikia wakulima, wafugaji. Wavuvi nanenane Dodoma

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: KAMPUNI ya Simu za mkononi, Mtandao wa Tigo umewakaribisha wakulima, wafugaji na Wavuvi kutumia mtandao huo wenye kasi kubwa kwa ajili ya kuangalia na kutafuta masoko ya bidhaa zao ndani na nje ya nchi.
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kati, Said Iddy amesema hayo katika Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni Dodoma.
Amesema lengo la kuwakaribisha wakulima hao kutumia mtandao huo, ni kutokana na maboresho yaliyofanyika na kuwa wenye kasi unaoongoza hapa nchini kwa lengo la kuwasaidia wateja wake kufanya shughuli zao za kilimo, ufugaji na uvuvi kirahisi.
Pia amesema katika kuhakikisha wateja wao ambao ni wakulima, wafugaji na wavuvi wanapata mawasiliano kwa urahisi, Tigo imewaletea bidhaa mpya sokoni ya simu janja za bei nafuu.
Lengo la simu hizo ni kuwawezesha  wakulima, wafugaji na wavuvi hata wenye kipato cha chini  kumiliki simu janja na kufanya shughuli zao kimtandao.
Amesema kupitia mtandao  wa tigo ulioboreshwa ,wakulima,wafugaji na wavuvi wanakwenda kupata taarifa za masoko ya bidhaa zao na bidhaa nyingine wanazohitaji ili  kuboresha shughuli zao.
Amewaasa wananchi,wakulima,wafugaji na wavuvi kufika kwenye banda la Tigo ili wakajipatie bidhaa za mtandao huo wenye kasi ikkwemo simu janja aina ya ZTE A34 inayopatikana kwa mkopo wa kianzio cha shilingi 35,000.
Mkazi wa Chamwino Dodoma, David Mazuguni aliyefika katika banda la Tigo, ameishukuru kampuni hiyo kwa kuwawezesha wananchi wa hali ya chini kuweza kumiliki simu janja.

You Might Also Like

Maofisa Habari Watoe Taarifa Sahihi Ziwafikie Wananchi

Askofu Akemea Midoli Kuvishwa Nguo Za Ndani

UTT AMIS Yazindua kampeni ya ‘Kijiwe Mchongo

Kafulila: Deni La Taifa Ni Himilivu

TARI: Mabadiliko Ya Tabia Nchi Yamepunguza Ufanisi Wa Mbegu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Maeneo ya hifadhi yalindwe na kutunzwa – Rais Samia
Next Article PSSSF sasa kidijitali
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?