MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kampeni ya Mama Samia imewafikia zaidi ya watu 4000 mikoa saba
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kampeni ya Mama Samia imewafikia zaidi ya watu 4000 mikoa saba
Habari

Kampeni ya Mama Samia imewafikia zaidi ya watu 4000 mikoa saba

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: KAMPENI ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia mpaka sasa imehudumia wananchi zaidi ya 4000 katika mikoa saba hapa nchini, waliokuwa na changamoto mbalimbali za kisheria katika jamii.
Aidha toka Agosti Mosi, 2024 maonesho yalipoanza ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi mkoani Dodoma kampeni hiyo imefanikiwa  kusikiliza migogoro 26.
Kaimu Mkurugenzi Kitengo cha Huduma cha Msaada Kisheria kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Ester Msambazi amesema hayo katika maonesho hayo yanayoendelea jijini Dodoma.
Msambazi ambaye pia ni Msajili wa Mashirika yanayotoa huduma ya msaada wa kisheria, ametaja huduma zinazotolewa kuwa ni ushauri wa kisheria pamoja na kuwaandalia wananchi nyaraka za kisheria ili waweze kuwasilisha mahakamani.
Pia kutoa elimu kwa makundi yanayowatembelea wakiwemo wanafunzi, wanawake wa vikundi vya kiuchumi, kusikiliza migogoro ya mtu mmoja mmoja ambapo toka maonesho yameanza wameshasikiliza migogoro 26.
“Migogoro hiyo inahusu ardhi, mirathi, ndoa, matunzo ya watoto na migogoro mingine. Kwa hiyo tunatoa rai kwa wananchi wa Dodoma na mikoa jirani wafike katika banda wapate elimu ya msaada wa kisheria,” amesema.
Amesema huduma hizo za kisheria zinagharimiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

You Might Also Like

Thamani ya Fedha Ionekane Kwenye Utekelezaji wa Miradi-Nyamoga

Kisaro Ahojiwa Kuhusu Migogoro ya Ardhi,  Mwinje Ajitosa na Suluhisho la Miundombinu na Umiliki wa Ardhi

Wanazuoni Kujadili   Dira  Itakayojenga  Uchumi Unaofikia   Dola Trilioni Moja

BAKITA Lapongeza Sheria Za Tanzania Kuandikwa Kwa Lugha Ya Kiswahili

Ushirikiano Wanataalum, Wanatasnia Kisekta Ni Muhimu Katika Maendeleo Kiuchumi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Makumbuli: Tunapinga kilimo cha bangi na mirungi
Next Article Changamoto ya uelewa mwiba kwa wasafirishaji Comoro
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?