MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania,  na Taasisi ya BVGH kuimarisha huduma za saratani
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania,  na Taasisi ya BVGH kuimarisha huduma za saratani
Habari

Tanzania,  na Taasisi ya BVGH kuimarisha huduma za saratani

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI ya Tanzania imeingia makubaliano ya ushirikiano na Taasisi ya Bioventure for Global Health (BVGH) ya nchini Marekani ili kuimarisha huduma za Saratani nchini Tanzania.
Makubaliano hayo yamefikiwa  katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania Jijini Washington DC nchini Marekani na kushuhudiwa na Waziri wa Afya wa Tanzania  Ummy Mwalimu  na Balozi wa Tanzania nchoni Marekani, Dk Elsie Sia Kanza.
Ushirikiano huo kati ya Wizara ya Afya na Taasisi hiyo, unalenga kuimarisha huduma kwa kutoa fursa za mafunzo kwa watalaam wa saratani wakiwemo madaktari bingwa na wabobezi katika huduma za mionzi.
Aidha mradi huo pia utatoa fursa kwa ajili ya tafiti katika huduma za Saratani, kuimarisha miundo mbinu ya huduma za saratani na kuwezesha upatikanaji wa dawa za saratani kwa gharama nafuu kwa watanzania.
Akiongea baada ya kusainiwa makubaliano hayo, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema Serikali ya Awamu ya sita chini ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuboresha huduma za Saratani zinapatikana kwa urahisi kwa watanzania ili kupunguza vifo vitokanavyo na Saratani.
Naye Mkurugenzi wa Taasisi ya BVGH  Jennifer Bent baada ya kusaini makubaliano hayo alielezea kufurahishwa kwake na utayari wa Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi hiyo pamoja na namna ambavyo serikali imedhamiria kukabiliana na ugonjwa huu wa Saratani nchini. ‎wishoo

You Might Also Like

Mbunge wa Monduli Aahidi Kusimamia Changamoto za Jimbo Lake

Dkt. Ndumbaro : Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Imefanikiwa 

NEMC Kupambana Na Magugu Maji Ziwa Victoria

Njaa, Mafao Ya Wakulima Vyatikisa Kampeni Za Ubunge Dodoma Mjini

Marekebisho ya sheria huangalia mazingira ya sasa na yajayo – Tume

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TASU yaiomba serikali inunue meli kutoa ajira kwa mabaharia
Next Article Uwepo mwongozo kupima wagonjwa zaidi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
Waraibu Wa Dawa Za Kulevya 85,425  Wapatiwa Huduma Ya Tiba Nchini Kwa Mwaka 2025
Habari May 29, 2026
NHC Kuendelea Kutekeleza Miradi Mikubwa Ya Kimkakati Ya Ujenzi Wa Nyumba
Habari May 28, 2026
Kutokulipa Kodi Ya Pango La Ardhi Unakosa Sifa Za Kugombea Nafasi Za Uongozi
Habari May 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?