MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading:
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Uncategorized >
Uncategorized

Author
By Author
Share
2 Min Read

TBA Yaibuka Mshindi Bora Sekta Ya Miliki Na Majengo Na Ardhi Sabasaba

Habari Picha 12855

Na Lucy Lyatuu
WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umetunukiwa tuzo ya mshindi wa nafasinya pili katika kipengele cha
banda bora upande wa Sekta ya Miliki na Majengo Na Ardhi (Real Estate) wakati wa sherehe za ufungaji wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba).

Kilele cha maonesho hayo kilifikia Julai 13, 2026 katika Viwanja vya Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam zikiongozwa na Rais wa Zanzibar, na Dkt Hussein Ali Mwinyi kufunga na kutoa tuzo kwa washindi.

Aidha tuzo ya TBA imepokelewa kwa niaba ya Mtendaji Mkuu wa TBA, Daud Kondoro, na Mkurugenzi wa Huduma Saidizi wa TBA, Amina Lumuli.

  • Habari Picha 12856

Akizungumza Lumuli amesema ushindi huo unatokana na ubunifu mkubwa uliooneshwa katika maandalizi ya banda la taasisi hiyo pamoja na namna lilivyofanikiwa kuwasilisha fursa mbalimbali za uwekezaji kwa wananchi na wadau wa maendeleo.

” TBA imeweka mkazo katika kuonesha fursa za uwekezaji kupitia mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), pamoja na kuelimisha wananchi kuhusu miradi ya kimkakati inayotekelezwa na wakala huo katika maeneo mbalimbali nchini,” amesema.

Amesema miongoni mwa miradi iliyovutia wageni wengi waliotembelea banda la TBA ni pamoja na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu, miradi ya majengo ya serikali pamoja na ukarabati na uboreshaji wa miundombinu ya michezo ikiwemo Uwanja wa Benjamin Mkapa, ambayo imeendelea kuonesha uwezo wa kitaalamu wa taasisi hiyo katika sekta ya ujenzi na usimamizi wa majengo.

Habari Picha 12857

 

Lumuli amesema tuzo hiyo ni ishara ya kuendelea kuaminiwa kwa TBA na wananchi pamoja na wadau mbalimbali kutokana na huduma bora, ubunifu wa kihandisi na uwezo wa taasisi hiyo wa kutekeleza miradi yenye tija kwa maendeleo ya Taifa na ustawi wa wananchi.

TBA inaendelea kutajwa kuwa miongoni mwa taasisi za serikali zinazofanya vizuri katika utoaji wa huduma, ubunifu wa kihandisi na kuvutia wawekezaji pamoja na wananchi waliotembelea maonesho hayo ya Jubilee ya Dhahabu ya Sabasaba 2026.

You Might Also Like

Profesa Kabudi Amimina Pongezi TEA

Bil.19 kusambaza umeme vitongojini Tabora

Prof.Mwakalila azungumza na wanafunzi wapya wa MNMA asisitiza uadilifu na uzalendo

Watumishi 7881 Watakaostaafu 2026/27 Watambuliwa Kupitia Kampeni Ya Tunalipa Jana-PSSF

Waziri Pinda ashiriki mazishi ya Jaji Kipenka

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TANESCO Kutambulisha Mfumo Wa Kufunga Nyaya Kwenye Nyumba Ukifuatilia Matumizi Ya Umeme
Next Article Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
TANESCO Kutambulisha Mfumo Wa Kufunga Nyaya Kwenye Nyumba Ukifuatilia Matumizi Ya Umeme
Habari July 13, 2026
Wananchi Waendelea Kunufaika Na Ofa Za TTCL Sabasaba 2026
Habari July 13, 2026
Ruhuka: Mdudu Anayetishia Zao la Kahawa, TARI Yaja na Suluhisho
Habari July 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?