MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Watu Wenye Ulemavu Nchini Wafikia Mil 5.3
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Watu Wenye Ulemavu Nchini Wafikia Mil 5.3
Habari

Watu Wenye Ulemavu Nchini Wafikia Mil 5.3

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu, Dodoma
KATIKA kuadhimisha siku ya mashine za nukta nundu(Breli), serikali imesema watu wenye ulemavu nchini wanakadiriwa kufikia mil 5.3 huku  idadi kubwa wakiwa ni wenye ulemavu wa kuona.
Naibu Waziri Wa Nchi, Ofisi Ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge, Uratibu na Wenye Ulema) Ummy Nderiananga amesema hayo leo jijini hapa wakati akizungumzia maadhimisho ya Kimataifa ya Breli ambapo  kitaifa kwa Tanzania yatafanyika  leo Februari 12 2026 katika mkoa wa Tanga.
Nderianaga amesema hayo wakati akimwakilisha Waziri wa Ofisi hiyo,William Lukuvi na kuongeza kuwa pamoja na idadi hiyo ya wenye ulemavu tofautitofauti lakini wale wasioona serikali imewamefikia kwa kiwango kikubwa kwa kuwapa vifaa na vitendea kazi mbalimbali hususani waliopo shuleni.
Habari Picha 11217
“Kwa wasio shuleni serikali imeweza kuwafikia kwa huduma mbalimbali kupitia program nyingine ikiwemo za TASaF, ” Amesema Waziri huyo na kuongeza kuwa  mashine za Breli zimekuwa zikiwafkia watoto kuanzia ngazi ya chini ili wajue kutumia vifaa hivyo kupitia ngazi mbalimbali zo hayo amesema yatahusisha shughuli mbalimbali ikiwemoikiwhsho ya teknolojia na kazi za wasioona, upimaji wa elimu na ujuzi wa wasioona.
Amesema Kongamano la wadau na jamii ya wasioona, Shughuli za burudani na hotuba za viongozi wa Serikali na wadau zitatolewa.
Kauli mbiu ya maadhimisho  hayo ni “Teknolojia ya Breli Husaidia Kuchochea Maendeleo kwa Wasioona na Ujenzi wa Taifa”.  ambapo Kauli mbiu hiyo inamaanisha kwamba teknolojia ya Breli inawawezesha Watu wasioona kushiriki kikamilifu katika nyanja zote za maisha (kijamii, kiuchumi, kisiasa na kiteknolojia), na hivyo kuchangia maendeleo yao binafsi na ya taifa kwa ujumla.
Kwa upande wake, Katibu Wa Chama Cha Wasioona, Mkoa wa Dodoma, Enock Mbawa amesema  ushiriki wa kundi  hilo katika nyanja mbalimbali husaidia kufikisha sauti zao.
Aidha ameiomba serikali kuwashirikisha katika program mbalimbali lakini pia wasisahaulike katika kupata vifaa vitakavyowawezesha kufanikisha majukumu yao  ya kila siku.
Kadhalika aliishauri jamii kuwapeleka shule watoto wenye ulemavu
Kwa kuwa vifaa vya kujifunzia vipo.
.

You Might Also Like

TALGWU Yaipongeza Timu Ya Makatibu Wa Mikoa Na Mawakili Wa Kanda Kwa Kutoa Huduma Bora Kwa Wanachama

Jeshi La Uhifadhi Wasisitizwa Kuzingatia Misingi ya Haki za Binadamu

Tume  Ya Ulinzi  Wa Taarifa Binafsi Yaongeza Muda Wa Taasisi Kujisajili

TUCTA Yakutana Na Mkuu Wa Mkoa Mbeya, Maandalizi Mei Mosi kitaifa 2025.

Majaliwa Amwakilisha Rais Samia Kilele Kongamano la TEHAMA

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article MAIPAC Yasisitiza Maadili Na Usalama Kwa Waandishi Wa Habari
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

MAIPAC Yasisitiza Maadili Na Usalama Kwa Waandishi Wa Habari
Habari February 12, 2026
Serikali Kuendelea Kutatua Changamoto Sekta Ya Uwekezaji Nchini
Habari February 10, 2026
Makamu wa Rais Azindua Mpango wa Kukuza Ujuzi, Ajira kwa Vijana
Habari February 9, 2026
Serikali yazindua Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii na ‘Hifadhi Scheme’ kwa Waliojiajiri
Habari February 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?