MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Yaongeza Kasi ya Utafutaji Masoko ya Parachichi Ulaya
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Yaongeza Kasi ya Utafutaji Masoko ya Parachichi Ulaya
Habari

Tanzania Yaongeza Kasi ya Utafutaji Masoko ya Parachichi Ulaya

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
BALOZI wa Tanzania nchini Ujerumani, Hassan Mwamweta, ameongoza ujumbe wa wakulima na wafanyabiashara kutoka Tanzania kushiriki Maonesho ya Kimataifa ya Matunda na Mboga mboga ya ‘Fruit Logistica 2026’ yaliyofanyika jijini Berlin kuanzia Februari 3 hadi 6, mwaka huu 2026.
Ujumbe huo unajumuisha Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), Saleh Saad Mohamed.
Habari Picha 11116
Taarifa inaeleza lengo la ushiriki wao ni kutafuta na kupanua masoko ya mazao ya Tanzania hususan parachichi, kuongeza mtandao wa wafanyabiashara, pamoja na kujifunza fursa na mbinu mpya katika kilimo-biashara.
Zaidi ya kampuni 40 kutoka Tanzania, kwa kushirikiana na Chama cha Wakulima wa Mazao ya Bustani Tanzania (TAHA), Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) pamoja na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), zinashiriki maonesho hayo.
Kwa ujumla, maonesho ya Fruit Logistica 2026 yamewakutanisha zaidi ya kampuni 2,600 kutoka nchi 151 duniani.
Habari Picha 11117
Fruit Logistica ni maonesho makubwa ya kimataifa yanayowaleta pamoja wakulima, wasambazaji, wanunuzi, wasafirishaji na wadau mbalimbali katika mnyororo wa thamani wa matunda na mbogamboga kutoka sehemu mbalimbali duniani.

You Might Also Like

VETA Yazalisha Bidhaa 825, Zinauzwa Ndani Na Nje Ya Nchi

Mwalunenge Kuunganisha Mbeya Mjini, Kusukuma Maendeleo Na Ajira Kwa Vijana

Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar Atoa Rai Kuhusu Afya ya Akili kwa Vijana

PBPA Yaagizwa Kuharakisha Upokeaji Na Usambazaji Wa Mafuta Nchini

Wizara Yapanga Kunufaika Na Maarifa Ya Mabalozi Wastaafu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Umeme Vitongojini Wachoche Uchakataji Mazao Katavi
Next Article Pinda Aitaka Jamii Kujikita Upandaji Miti Bila Kusubiri Matukio Maalumu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

VETA  Yapongezwa Kwa Kuibua Vipaji Kwa Vijana  
Habari June 24, 2026
Kundi Kubwa La Wanafunzi Hukatisha Masomo Katika Ngazi Mbalimbali Ya Elimu -TEWW 
Habari June 24, 2026
TEMESA  Yajadhimisha Miaka 20, Yajivunia  Mafanikio  Na Kuahidi  Kuimarisha  Huduma
Habari June 24, 2026
PURA Yasema Tanzania Inaendelea Kujivunia Uwepo Wa Gesi Asilia,Ni Nguzo Muhimu Katika Kuchochea Maendeleo
Habari June 24, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?