MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Serikali Yaanza Mchakato wa Kujenga Uwanja wa Ndege Kyabajwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Serikali Yaanza Mchakato wa Kujenga Uwanja wa Ndege Kyabajwa
Habari

Serikali Yaanza Mchakato wa Kujenga Uwanja wa Ndege Kyabajwa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
Mbunge wa Misenyi, Florent Kyombo, ameuliza katika kipindi cha maswali na majibu bungeni mjini Dodoma, “Je, lini Uwanja wa Ndege wa Kyabajwa utaanza kujengwa?”
Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Uchukuzi,David Kihenzile amesema kuwa Serikali imekwishaanza utekelezaji wa mradi wa kiwanja kipya cha ndege katika Mkoa wa Kagera kwa kuingia mkataba na Mtaalamu Elekezi.
Mtaalamu huyo atafanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa kiwanja hicho kinachotarajiwa kujengwa katika eneo la Kyabajwa.
Naibu Waziri alifafanua zaidi kuwa Mtaalamu Elekezi anatarajiwa kukabidhiwa eneo la kazi na kuanza kazi ndani ya robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2025/2026.
Aidha, kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina imepangwa kukamilika mwishoni mwa mwaka 2026, na baada ya hapo hatua za utekelezaji wa mradi huo zitaanza rasmi.

You Might Also Like

Chalamila Atoa Wiki Mbili Wafanyabiashara Ndogo Ndogo Kufungua Njia Kariakoo

VETA Yatembelea Kiwanda Cha Kutengeneza Nyumba Bila Kutumia Tofali

Chalamila Akabidhi milioni 100, saruji Kukamilisha Zahanati

Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano

Ufanisi Wa TANESCO Katika  Utekelezaji Na Usimamizi Wa Miradi Umeleta Mfumo Madhubuti Wa Nishati- Ndejembi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Katoro Yapata Gari Jipya la Zimamoto, Kuwasili Februari 9
Next Article Wananchi wa Bukoba Wapewa Vizimba vya Samaki Kuongeza Mapato
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wananchi wa Bukoba Wapewa Vizimba vya Samaki Kuongeza Mapato
Habari February 4, 2026
Katoro Yapata Gari Jipya la Zimamoto, Kuwasili Februari 9
Habari February 4, 2026
Waziri Mbarawa Aagiza Adhabu Kali kwa Madereva, Makondakta Wanaonyanyasa Wanafunzi
Habari February 4, 2026
Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira
Habari February 3, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?