MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Simbachawene Ashauri Suluhu ya Mafuriko Mpwapwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Simbachawene Ashauri Suluhu ya Mafuriko Mpwapwa
Habari

Simbachawene Ashauri Suluhu ya Mafuriko Mpwapwa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu, Gulwe
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, ameshauri kujengwa kwa mabwawa ya kisasa katika maeneo ya milimani ya vijiji vya Iyenge, Ludi, Vibewele na Mzogole wilayani Mpwapwa ili kudhibiti athari za mafuriko yanayosababisha uharibifu wa reli ya kati na makazi ya wananchi.
Simbachawene, ambaye pia ni Mbunge wa Kibakwe, ametoa ushauri huo wakati wa ziara ya Dkt. Mwigulu Nchemba katika kijiji cha Gulwe kukagua uharibifu wa miundombinu ya reli na makazi uliosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha.
Habari Picha 10750
Amesema mabwawa mengi yaliyopo yalijengwa kwa teknolojia ya zamani, hivyo kuna haja ya kujenga mabwawa ya kisasa kwenye milimani ambako maji yanatoka ili kuyazuia yasishuke kwa wingi hadi maeneo ya chini.
Amesisitiza wataalamu wahusishwe kubuni mifumo itakayopunguza mtiririko wa maji kutoka milimani kwa kuyahifadhi kwenye mabwawa.
Aidha, ameshauri kujengwa kwa kituo cha afya kitakachohudumia wakazi wa eneo hilo pamoja na abiria wanaokwama safari reli inapoharibika.
Kwa upande wake, Dkt. Nchemba ameagiza TANROADS kufanya makadirio ya dharura kubaini gharama za ukarabati wa daraja la Godegode na korongo la Gulwe ili miundombinu irejee kupitika.
Pia amewahimiza wananchi kutunza mazingira kwa kuepuka ujenzi kwenye mikondo ya maji, ukataji miti holela na kilimo kisichozuia mmomonyoko wa udongo.
Akizungumzia barabara ya Mpwapwa–Gulwe, amesema mkandarasi tayari amepatikana na kinachosubiriwa ni upatikanaji wa fedha.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amesema serikali imetoa Sh. Bilioni 64 kurekebisha maeneo yaliyoathiriwa na mvua, yakiwemo Mtanana na Fufu.

You Might Also Like

Mume na Mke Wafariki Kwa Wivu Wa Kimapenzi

China Yaendelea Kunufaisha Afrika, Wakati Marekani Ikikatiza Uwekezaji Katika Bara Hilo

Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija

Fursa za Uwekezaji Kanda ya Ziwa: Buzwagi na Maeneo Mengine ya Kimkakati

TARURA Yatenga Milioni 580 Kuboresha Barabara Zinazohudumia Sekta ya Madini Geita

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Waziri Sangu, Balozi UAE Wajadili Fursa za Ajira kwa Watanzania
Next Article Vikao vya Kamati za Bunge Kuanza Januari 13, 2026 Dodoma
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?