MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mbunge wa Monduli Aahidi Kusimamia Changamoto za Jimbo Lake
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mbunge wa Monduli Aahidi Kusimamia Changamoto za Jimbo Lake
Habari

Mbunge wa Monduli Aahidi Kusimamia Changamoto za Jimbo Lake

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Monduli, Isack Joseph, amesema anazitambua changamoto zinazowakabili wananchi wa jimbo lake, huku akitaja changamoto kubwa zaidi kuwa ni upatikanaji wa maji.
Akizungumza leo, Novemba 11, 2025, nje ya Viwanja vya Bunge katika mkutano wa kwanza wa Bunge la 13 jijini Dodoma, Joseph amesema anayo dhamira ya dhati ya kusimama kidete kuwatumikia wananchi wa Monduli na kuhakikisha changamoto zao zinatafutiwa ufumbuzi wa kudumu.
Habari Picha 10255
“Monduli naijua vizuri. Nimewahi kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri, hivyo najua nini kinachowakabili wananchi wangu. Nawaahidi nitakuwa mwakilishi mzuri na nitasimama imara kuzungumzia masuala ya maji, elimu, barabara na afya,” amesema.
Mbunge huyo ameshukuru wananchi wa Monduli kwa kumpa imani na fursa ya kuwawakilisha bungeni, akiahidi kutumika kwa uadilifu na uwajibikaji.
Kadhalika, ametumia nafasi hiyo kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan na Spika wa Bunge, Azzan Zungu, akisema ataunga mkono juhudi zao katika kuwaletea Watanzania maendeleo.
“Wananchi wa Monduli wategemee mambo mazuri. Tutashirikiana na Serikali kuhakikisha changamoto zinazowakabili zinatatuliwa kwa wakati,” alisema Joseph.

You Might Also Like

Ridhiwani Kikwete aziita sekta binafsi kushirikiana na serikali,  apokea vifaa tiba na madawati kutoka NMB

TDB Yaheshimisha Tasnia Ya Maziwa

Chinyeli Aahidi Chakula Bure kwa Wazee, Mwanyemba Kupambana Kutafuta Maendeleo

Mwenda: Tupo kwa ajili ya kuzitatua changamoto za wananchi

Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Agnesta Lambart: Nitakuwa Sauti ya Wananchi wa Segerea Bungeni
Next Article Spika Mussa Zungu Atoa Hotuba Baada Ya Kuchaguliwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?