MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CHAUMMA Yalia na Umaskini Katikati ya Utajiri wa Dhahabu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CHAUMMA Yalia na Umaskini Katikati ya Utajiri wa Dhahabu
Habari

CHAUMMA Yalia na Umaskini Katikati ya Utajiri wa Dhahabu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
SHINYANGA: CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema sera yake katika sekta ya rasilimali ni kuwamilikisha wazawa ili wanufaike na utajiri wa nchi.
Akizungumza na wananchi wa Bulige, Jimbo la Msalala, mgombea urais wa CHAUMMA Salum Mwalim amesema inasikitisha kuona mikoa yenye madini na mazao ya kibiashara ikiendelea kuwa maskini.
Mwalim amesema, licha ya uwepo wa migodi mikubwa ya dhahabu kama Bulyanhulu na Buzwagi, wananchi hawana miundombinu bora ya barabara, maji safi na salama, wala madaktari na wauguzi wa kutosha katika kituo cha afya kilichopo.
“Haya maisha magumu hamyaoni, ndugu zangu wa Msalala? Pia hamjui yamesababishwa na nani?” ameuliza Mwalim.
Ameongeza kuwa mgodi wa Buzwagi umefungwa huku wageni waliokuwa wakichukua dhahabu wakiendelea kunufaika, lakini wananchi wakiwa hawajafaidika chochote.
Mwalim amewataka wakazi wa Msalala kuamka Oktoba 29, mwaka huu 2025 na kuipigia kura CHAUMMA, chama kitakachotetea rasilimali zao.
“Mkiendelea na msimamo wenu wa hyena hyena, tieni tieni kwa CCM, huduma za afya mtakuwa mkizisikia kwa wenzenu; barabara nzuri na maji hivyo hivyo.
“Msalala, nendeni mkapige kura ya hasira, ikataeni CCM kwa sababu mnayo sababu. Nendeni mkanikabidhi nchi hii ili tufanye maendeleo inawezekana kabisa.” amesema.

You Might Also Like

Dhibitini Magonjwa ya Mlipuko-Mchengerwa

Dkt. Mushongi: Mahindi Ni Nguzo Kuu ya Uchumi na Usalama wa Chakula

Kasulu Yatoa Mafunzo Utumiaji wa Mfumo Wa Kieletroniki Kwa Wakuu wa Divisheni, Vitengo

Wafanyakazi Wapongeza Uzinduzi wa Miongozo, Mifumo ya Kielektroniki ya Ofisi ya Waziri Mkuu

Program Ya Maeneo Yaliyochakaa Nchini Yaandaliwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article MWALIM AOMBA WATANZANIA KUMWOMBEA WIKI YA MWISHO KUELEKEA UCHAGUZI
Next Article Mgombea Urais Wa CCM, Dkt. Samia Aendelea Na Kampeni Temeke
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kituo Cha Umahiri Cha Upandikizaji Figo, Mafunzo, Kujengwa Hospitali Ya Benjamin Mkapa
Habari October 24, 2025
Mwalim: Mchagueni Mwalimu Wangu Wa Siasa Shibuda
Habari October 24, 2025
TUCTA: Wafanyakazi Jitokezeni  Kwa Wingi Kwenda Kupiga Kura Mchague Viongozi Watakaolinda  Maslahi Yenu  
Habari October 24, 2025
Jeshi La Polisi Kufanya Ukaguzi Wa Hali Ya Juu Kwa Mashabiki Katika Mechi Za Simba Na Yanga
Habari October 24, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?