MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CWT Yatoa Wito Kwa Walimu Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CWT Yatoa Wito Kwa Walimu Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29 
Habari

CWT Yatoa Wito Kwa Walimu Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29 

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Yasisitiza Walimu Kuwa Kioo Cha Jamii Kushiriki Katika Maamuzi Ya Maendeleo Ya Taifa
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimetoa wito kwa walimu na watanzania kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, kikisisitiza umuhimu wa kutimiza haki ya kikatiba ya kuchagua viongozi bora watakaolinda maslahi ya wananchi.
Rais wa CWT Suleiman Ikomba ameeleza hayo alipozungumza na walimu.
Ikomba amesema ni wajibu wa walimu, kama kioo cha jamii, kuongoza kwa mfano kwa kuwahamasisha watanzania wote kushiriki kikamilifu katika uchaguzi huo muhimu.
Habari Picha 10142
“Ni lazima tuonyeshe mfano kwa jamii. Walimu ni kioo cha jamii, hivyo tunapaswa kuwahamasisha wananchi kutimiza haki yao ya msingi ya kupiga kura ili kuchagua viongozi watakaotuweka kwenye njia sahihi ya maendeleo,” amesema.
Ameongeza kuwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo, CWT inalenga kuwa chombo kinacholeta matumaini mapya kwa walimu na kusaidia kuimarisha heshima ya taaluma ya ualimu nchini.
“Tunahitaji viongozi watakaoweka mbele maslahi ya walimu na kuifanya CWT kuwa chachu ya maendeleo kwa serikali na jamii. Serikali na jamii itaona CWT kama mshirika muhimu katika kuleta maendeleo ya nchi yetu,” amesema.
Chama hicho kimerejea dhamira yake ya kushirikiana na serikali na wadau wote wa maendeleo kuhakikisha walimu wanaendelea kuwa nguvu ya mabadiliko chanya katika jamii.

You Might Also Like

Rais Mwinyi adhamiria kusimamia ubora wa bidhaa

Serikali Yapeleka Sh Bil 10 Kwa Kiwanda Cha Viuadudu Cha TBPL

Chalamila: Serikali Imewekeza Kupatikana Wataalamu Wa Usingizi, Yapunguza Vifo Vinavyotokana Na Upasuaji

Kamati Ya Bunge Yaridhishwa Na Utaratibu Wa Manunuzi Ya Bando

Wananchi Uyui Wafurika Kumsubiri Mgombea Urais CCM

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Kuja Na Mwongozo Wa Kuimarisha Ushirikishwaji Jamii Katika Masuala Ya Afya
Next Article CHAUMMA YAAPA KUJENGA BUNGE LA WABUNGE WA HOJA, SI MACHAWA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Spika Zungu Atangaza Kifo Cha Mbunge Wa Peramiho, Jenista Mhagama
Habari December 11, 2025
Mkenda: Maendeleo ya Taifa Yanategemea Sayansi na Teknolojia
Habari December 11, 2025
Dkt. Ikomba wa CWT Aeleza Jinsi Elimu Ilivyobadilisha Taswira ya Tanzania kwa Miaka 64
Habari December 9, 2025
Profesa Ndunguru: Mtafiti Aliyejitoa Kusaidia Dunia Kupata Chakula Cha Baadae
Makala December 9, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?