MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais Mwinyi aipongeza Airpay kudhamini tamasha la fahari ya Zanzibar, kusaidia wananchi kupata mikopo kidigitali
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Uncategorized > Rais Mwinyi aipongeza Airpay kudhamini tamasha la fahari ya Zanzibar, kusaidia wananchi kupata mikopo kidigitali
Uncategorized

Rais Mwinyi aipongeza Airpay kudhamini tamasha la fahari ya Zanzibar, kusaidia wananchi kupata mikopo kidigitali

Penina Malundo
By Penina Malundo
Share
2 Min Read

 

Na Mwandishi wetu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Kampuni ya Airpay Tanzania kwa kudhamini Tamasha la pili la Fahari ya Zanzibar lenye lengo la kuwawezesha wananchi kupata mikopo, mafunzo ya ujasilimali kwa njia ya kidigitali.

Rais Mwinyi ametoa pongezi hizo leo visiwani Zanzibar wakati akifungua tamasha hilo lililoandaliwa na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (ZEEA) chini ya ufadhili wa Airpay na kuwakutanisha zaidi ya wajasiriamali zaidi ya 200 huko Nyamanzi Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.

Amesema anaipongeza Airpay na wadhamini wengine waliofanikisha tamasha hilo na kwamba katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025 serikali imetenga bajeti ya Sh. Bilioni 41.6 kwa lengo la kuongeza nguvu katika utekelezaji wa dhamira ya kuwawezesha wananchi kiuchumi.

“ZEEA tangu kuanzishwa kwake katika kipindi cha zaidi ya miaka miwili imewezesha upatikanaji wa mitaji pamoja na kuimarika kwa marejesho sambamba na utoaji wa mafunzo kwa wajasiriamali pamoja kuwaunganisha na masoko ya ndani nan je ya nchi,” amesema Rais Mwinyi

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Airpay Tanzania, Yasmin Chali amesema Airpay kwa kushirikiana na ZEEA imeanzisha mfumo maalumu utakaowasaidia wajasiriamali kupata mikopo kidigitali kwa muda mfupi na rahisi.

Chali amesema kwa sasa wajasiriamali wataondokana kujaza makaratisi kwa ajili ya kuomba mikopo na badala yake watatumia simu zao ama mtandao kwa ajili ya kuomba mkopo ili kukuza na kuboresha biashara zao

“Mfumo huu utawafikia wajasiriamali wengi zaidi hivyo niwaombe wafanyabishara wote kuutumia ili kupata mikopo kwa ajili ya kuendesha biashara zao, tutatoa elimu na mafunzo mbalimbali kwa walengo ili waweze kutumia bila kikwazo cha aina yeyote ile,” amesena

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji ZEEA, Juma Burhan amesema wakala huo utaendelea kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kuweka mazingira rafiki ili kufikia lengo la kupunguza umaskini kwa wananchi wa Zanzibar.

Amesema wakala kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo inaendelea kutoa mikopo kwa wajasiriamali katika wilaya zote za unguja na Pemba ili kukuza mitaji ya kuendesha biashara zao.

You Might Also Like

Bandari ya Kilwa kuleta mapinduzi sekta ya uvuvi nchini

Prof.Mwakalila azungumza na wanafunzi wapya wa MNMA asisitiza uadilifu na uzalendo

Hakuna Vituo Bandia vya Kuandikisha Wapigakura:Mchengerwa

Waziri Pinda ashiriki mazishi ya Jaji Kipenka

Vinasaba 524 Vimepimwa Kwa Mkemia Mkuu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Waziri Mkuu Aagiza Kuimarisha Ufuatiliaji Na Tathmini Kuleta Maendeleo
Next Article Waziri wa Vijana akutana na Mwita wa Zanzibar
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?