MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Zimamoto Mbeya Watoa Elimu Ya Kukabiliana Na Majanga Ya Moto Kwenye Wiki Ya Vijana
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Zimamoto Mbeya Watoa Elimu Ya Kukabiliana Na Majanga Ya Moto Kwenye Wiki Ya Vijana
Habari

Zimamoto Mbeya Watoa Elimu Ya Kukabiliana Na Majanga Ya Moto Kwenye Wiki Ya Vijana

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MBEYA: JESHI la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Mbeya limetumia fursa ya maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa yanayoendelea mkoani humo kutoa elimu ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga ya moto kwa wananchi.
Akizungumza katika maonyesho hayo, Ofisa Habari Msaidizi wa Jeshi hilo, Sajenti Ester Kinyaga, amesema mikusanyiko mikubwa ya watu kwenye maeneo ya maonyesho ni fursa muhimu kwa Jeshi hilo kuelimisha jamii juu ya namna ya kujikinga na majanga ya moto na namna ya kutoa taarifa pindi ajali inapotokea.
Habari Picha 9855
“Tumekuja na vifaa mbalimbali tunavyotumia katika shughuli za uokoaji ili wananchi watakapofika kwenye banda letu wapate kujua kazi zetu kwa vitendo, pamoja na matumizi ya vifaa hivyo,” amesema.
Ametoa wito kwa wananchi kutembelea banda hilo ili kujifunza masuala muhimu kama ishara za moto, njia za kujikinga, na jinsi ya kutoa taarifa za dharura kwa kupiga namba 114, ambayo ni maalum kwa Jeshi la Zimamoto.
Akitaja baadhi ya visababishi vya majanga ya moto, amesema ni pamoja na uzembe wa kibinadamu na kutoa mfano, kwamba mtu anaacha pasi ya umeme ikiwa imeunganishwa baada ya umeme kukatika hivyo moto huweza kuzuka umeme unaporudi.
Habari Picha 9856
Pia hujuma inayosababishwa na mtu kumchomea mwenzake nyumba, gari au mali nyingine kwa makusudi kutokana na chuki au uhasama.
Amesisitiza kuwa elimu ya kinga dhidi ya majanga ya moto ni muhimu kwa kila mwananchi ili kuepusha hasara, majeraha au vifo vinavyoweza kuepukika.

You Might Also Like

TUCTA Yakutana Na Mkuu Wa Mkoa Mbeya, Maandalizi Mei Mosi kitaifa 2025.

Ushiriki Wa Tanzania Jukwaa La Dunia Waongeza Fursa Za Kimataifa Kukabiliana Na Maafa-Dk Yonaz

CMA yawataka wafanyakazi walioachishwa kazi kuwasilisha mgogoro ndani ya muda

Waziri Ridhiwani Awataka Wafanyakazi Kuongeza Bidii Katika Kazi

Watuhumiwa 25 Wa Makosa Ya Mtandao Wakamatwa Na Polisi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Majaliwa: Jiungeni NHIF Kupata Matibabu Ya Uhakika
Next Article Majaliwa: Serikali Yaanzisha Program Ya Uanagenzi Kwa Vijana
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?