MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Zifahamu hifadhi za bahari na maeneo tengefu.
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Zifahamu hifadhi za bahari na maeneo tengefu.
Habari

Zifahamu hifadhi za bahari na maeneo tengefu.

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DODOMA: “HADI sasa tunasimamia hifadhi tatu na maeneo Tengefu 15. Tufanye jumla ya hifadhi kufika 18, ambazo zimegawanyika katika mikoa minne, Tanzania Bara,”.

Ofisa Masoko wa Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu Tanzania, Halima Tosiri amesema hayo katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yaliyomalizika jana katika Viwanja vya Nzuguni, Dodoma.

Halima ametaja mikoa ambayo hifadhi hizo zinapatikana kuwa ni Hifadhi ya Kisiwa cha Mafia, Hifadhi za Bahari Dar es Salaam, Hifadhi za Bahari Nazbay Mtwara na Hifadhi za Bahari Tanga.

Amesema mwaka huu 2024, wameweza kuhudhuria maonesho hayo yajulikanayo kama nane nane kwa lengo la kutoa elimu kwa jamii, kuhusiana na masuala ya uhifadhi wa rasilimali za bahari.

Kuwajulisha wananchi, ” Ni kwa nini tunahifadhi, na ni nini tunahifadhi, na umuhimu wa kuhifadhi lakini pia kuwaambia jamii kwa kuwa ni moja kati ya sehemu ya wahifadhi.

You Might Also Like

Bajeti ya TUGHE 2025 Yaidhinishwa

TUCTA Yakutana Na Mkuu Wa Mkoa Mbeya, Maandalizi Mei Mosi kitaifa 2025.

PSSSF Yaanza Kulipa Mafao Kwa Kikokotoo  Kipya Kilichoboreshwa – Ridhiwani

TARURA yaimarisha ubora wa barabara kwa kuwa na maabara mikoani

TPHPA: Toeni taarifa mapema milipuko ya kwelea kwelea, nzige, viwavijeshi vamizi inapotokea

TAGGED:BahariHifadhiMaendeleoTangaTanzania
Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Homa ya nyani mjadala wa dharura kwa mawaziri wa afya Afrika
Next Article Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu yaita wawekezaji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Habari August 6, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?