MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: WMA Yajivunia Kuongezeka Kwa Wafanyakzai
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > WMA Yajivunia Kuongezeka Kwa Wafanyakzai
Habari

WMA Yajivunia Kuongezeka Kwa Wafanyakzai

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage.
WAKALA wa Vipimo (WMA) imesema kuwa kati ya mafanikio makubwa na ya kihistoria kwa miaka minne ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan tangu kuwepo kwake,  ni kupata ajira za wafanyakazi wapatao 186.
Hayo yameelezwa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo, Alban Kihulla alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Serikali iliyopo Madarakani katika Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO Jijini Dodoma.
Kihulla amesema kuwa katika historia ya kuwepo Wakala wa Vipimo haijawahi kuwa na watumishi wa kutosha kama ilivyo idadi ya sasa jambo ambalo litasaidia walaka hiyo kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa.
Amesena kati ya watumishi hao walioajiriwa,  150 wameisha kuwa na ajira kamili na 36 wapo katika hatua za usahili.
“Tangu kuanzishwa wakala hiyo ilikuwa na changamoto ya kukosa watumishi jambo ambalo lilikuwa likifanya utendaji kazi kuwa mgumu kidogo tofauti na utendaji wa sasa ambapo watumishi wameongezeka ” amesema
Ili kuthibitisha hilo amesema  historia ya Idara ya Vipimo nchini Tanzania inaanza mwaka 1884 hadi 1918 wakati wa utawala wa Kijerumani.
Amesema kuwa wakati huo, Idara ya Vipimo ilikuwa chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani na iliendeshwa na Kamishna wa
“Utekelezaji wa majukumu ya kila siku ya Wakala wa Vipimo unahitaji nguvu kazi ya rasilimali watu ambao watafanya ukaguzi na uhakiki wa vipimo.
Wakala inaishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuiwezesha kupata ajira za watumishi 186 wa kada ya ukaguzi wa vipimo ambao wataongeza nguvu kwenye jukumu la uhakiki na ukaguzi wa vipimo hapa nchini.
Amesema kwa mwaka 2021/2022  watumishi walikuwa 2 mwaka 2022/23 watumishi walikuwa 7,mwaka 2023/2024,watumishi walikuwa
17 na mwaka 2024/2025 watumishi ni
186.

You Might Also Like

Serikali Inaendelea Kutekeleza Mradi wa Kupeleka Umeme Grid Ya Mtwara Na Lindi- Kapinga

Ubovu wa Kituo cha Daladala Bunju Sokoni Watesa Abiria

Ridhiwan Kikwete aitaka LESCO kushirikiana na serikali

Ofisi Ya Mwandishi Mkuu Wa Sheria Yakamilisha Rasimu Ya Sheria 446 Kwa Lugha Ya Kiswahili

Mfanyakazi Ana Wajibu Kupeleka Taarifa za Madai

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mtoto Wa Miaka Sita Ashinda Ashindano Ya Kuhifadhi Quraan Mkoa Arusha
Next Article Ujenzi Jengo la Sayansi, Teknolojia, Ubunifu Kuanza Kesho Dodoma
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?