MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
GEITA: BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kudhamini Maonesho ya Nane ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea mkoani Geita.
Tuzo hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na kupokelewa na Meneja wa Idara ya Mawasiliano wa BoT, Victoria Msina, leo Septemba 22, 2025, katika Viwanja vya Dkt. Samia Suluhu Hassan vilivyoko Bombambili, Geita, ambapo Waziri Mkuu alifungua rasmi maonesho hayo.
Habari Picha 9527
BoT inashiriki katika maonesho hayo kwa lengo la kutoa elimu ya kifedha kwa wananchi pamoja na kusaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili.
Maonesho hayo, yaliyoanza Septemba 18, 2025, yamekusanya washiriki zaidi ya 600 kutoka ndani na nje ya nchi, wakiwemo wafanyabiashara, wananchi na wadau wa sekta ya madini, wakionesha teknolojia mbalimbali zinazotumika katika sekta hiyo.
Haya yamekuwa jukwaa muhimu kwa Serikali, sekta binafsi, wachimbaji wa madini wa viwango vyote, taasisi za kifedha, wajasiriamali na wadau wengine kujadiliana, kubadilishana uzoefu na kujifunza kutoka kwa wenzao.
Kaulimbiu ya maonesho kwa mwaka huu ni: “Ukuaji wa Sekta ya Madini ni Matokeo ya Matumizi ya Teknolojia Sahihi na Uongozi Bora. Shiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba, 2025.”

You Might Also Like

PIC Uwekezaji Bidhaa Za Ngozi Utaongeza Mapato

Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita

Profesa Kitila Ataja Sababu Za Watanzania  Kumchagua Dkt Samia

Wahamasika Kutumia Mbegu Bora Za Karanga Zilizofanyiwa Utafiti Na TARI

Profesa Ndunguru: Mabadiliko Sekta ya Kilimo Yanaenda Sambamba na Uwekezaji Katika Utafiti

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
REA Yapamba Maonesho Ya Kitaifa Ya Teknolojia Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Majiko Banifu 1000 Kuuzwa Kwa Bei Ya Ruzuku Katika Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?