MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Waziri Jenista akabidhiwa ofisi rasmi na Ummy Mwalimu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Uncategorized > Waziri Jenista akabidhiwa ofisi rasmi na Ummy Mwalimu
Uncategorized

Waziri Jenista akabidhiwa ofisi rasmi na Ummy Mwalimu

Penina Malundo
By Penina Malundo
Share
1 Min Read

 

Na Mwandishi wetu

Waziri wa Afya Jenista Mhagama leo Agosti 16, 2024 amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Waziri wa Afya,Ummy Mwalimu.

Shughuli ya makabidhiano ya ofisi imefanyika Leo tarehe 16 Agosti, 2024 katika Ofisi za Wizara katika Mji wa Serikali, Mtumba, Dodoma.

Jenista amempongeza Ummy Mwalimu kwa uongozi wake ndani ya Wizara ya afya kwa kipindi chote alichofanya kazi ndani ya Sekta ya Afya kwa miaka 14.

“Nakupongeza  Ummy Mwalimu hakika maendeleo haya ya Sekta ya Afya una mchango mkubwa katika kuifikisha Sekta ya Afya hapa ilipo, tutaendelea kushirkiana na kupeana ushauri zaidi katika kazi” amesema Waziri Mhagama.

Akikabidhi Ofisi Ummy Mwalimu amempongeza  Jenista Mhagama kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Waziri wa Afya.

“Umekuwa Kiongozi mwenye uzofu wa kutosha ndani ya Serikali naamini kwa uwezo wako ulionao pamoja na timu hii ya Wizara unaweza kuendelea zaidi katika kuboresha Sekta ya Afya nchini” amesema Ummy Mwalimu.

Viongozi wengine wageni walioshiriki kwenye shughuli hiyo ni Naibu Katibu Mkuu,Ismail Rutamila ambaye pia ameahidi kutoa ushirikiano kwa Menejimenti na Viongozi katika kuboresha Sekta ya Afya nchini pamoja na Dkt. Irene Isaka, Mkurugeni Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima

You Might Also Like

Trilioni 1.2 kuboresha miundombinu Mkoa wa Dar es Salaam

Vinasaba 524 Vimepimwa Kwa Mkemia Mkuu

Kapinga : Bei ya umeme Tanzania ni nafuu kuliko nchi nyingine Afrika Mashariki

Profesa Kabudi Amimina Pongezi TEA

Tanzania yang’ara miradi ya Kinywe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Changamoto uchakataji Mkonge kupatiwa ufumbuzi
Next Article Magonjwa ya misuli yaongezeka mahala pa kazi-OSHA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?