MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria
Habari

Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Lucy Lyatuu

CHAMA Cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) kimesema mtumishi wa Umma anatakiwa kufahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa Sheria ya utumishi wa Umma ya mwaka 2019.

Kimesema mtumishi wa Umma anayo nafasi ya kutafuta haki yake Kwa njia ya rufaa au nafuu nyingine iwapo hajaridhishwa na uamuzi wa Mamlaka ya nidhamu.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Sheria Usalama Mahala pa Kazi wa TALGWU, Twaha Mtengera amesema Hali hiyo inaweza kutafuta huko isipokuwa kutokana naabadiliko ya Sheria husika watumishi wa Umma hawaruhusiwi Kwa mujibu wa kifungu Cha 32A cha Sheria ya utumishi wa Umma kutumia sheria za kazi au nyinginezo mpaka wakamiliashe kwanza utaratibu ulioainishwa chini ya Sheria ya utumishi wa Umma.

Kwa mujibu wa Mtengera kifungu Cha 25 Cha Sheria ya utumishi wa Umma pamoja na sehemu ya sita ya kanuni za utumishi wa Umma za mwaka 2022 zimefafanua utaratibu wa kuzingatia katika suala zima la kukata rufaa.

You Might Also Like

TEA Yakabidhi Miradi Iliyokamilika Wilayani Mtama, Masasi

Wakulima Wa Mahindi Mvomero Walia Na Viwavijeshi Vamizi, Watafiti SUA kupitia Mradi Wa AGRISPARK Kuokoa Jahazi

TEA, UNICEF na Canada waendeleza mageuzi ya elimu Sikonge

Nchi Za SADC Zahimizwa Kutunza, Kulinda Amani

Viongozi Bora Hujenga Mazingira Wezeshi Kwa Wahadhiri – Profesa Nombo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watanzania lindeni Viwanda vya Ndani
Next Article Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Habari March 10, 2026
Mtaka, Ndunguru Wakubaliana Ujenzi wa Maabara ya Kimkakati Njombe
Habari March 10, 2026
Wataalamu wa Fedha SADC Wakutana Pretoria Kujadili Bajeti
Habari March 9, 2026
TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?