MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria
Habari

Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria

Author
By Author
Share
1 Min Read

Lucy Lyatuu

CHAMA Cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) kimesema mtumishi wa Umma anatakiwa kufahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa Sheria ya utumishi wa Umma ya mwaka 2019.

Kimesema mtumishi wa Umma anayo nafasi ya kutafuta haki yake Kwa njia ya rufaa au nafuu nyingine iwapo hajaridhishwa na uamuzi wa Mamlaka ya nidhamu.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Sheria Usalama Mahala pa Kazi wa TALGWU, Twaha Mtengera amesema Hali hiyo inaweza kutafuta huko isipokuwa kutokana naabadiliko ya Sheria husika watumishi wa Umma hawaruhusiwi Kwa mujibu wa kifungu Cha 32A cha Sheria ya utumishi wa Umma kutumia sheria za kazi au nyinginezo mpaka wakamiliashe kwanza utaratibu ulioainishwa chini ya Sheria ya utumishi wa Umma.

Kwa mujibu wa Mtengera kifungu Cha 25 Cha Sheria ya utumishi wa Umma pamoja na sehemu ya sita ya kanuni za utumishi wa Umma za mwaka 2022 zimefafanua utaratibu wa kuzingatia katika suala zima la kukata rufaa.

You Might Also Like

Wanawake Tumieni Fursa Zilizopo Kufanya Biashara

Mpanduji Wa COTWU – T Aelezea Changamoto Zinazowakabili Waendesha Bodaboda, Bajaji

Msigwa Awataka Wakuu Wa Mikoa Kuandaa Maeneo Ya Upandaji Miti

Chanzo Cha Bunge Kuridhia Hoja Ya Wanaojifungua Njiti, Kilianzia Hapa

Rais Samia azindua bwawa la umwagiliaji Mtibwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watanzania lindeni Viwanda vya Ndani
Next Article Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?