MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria
Habari

Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria

Author
By Author
Share
1 Min Read

Lucy Lyatuu

CHAMA Cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) kimesema mtumishi wa Umma anatakiwa kufahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa Sheria ya utumishi wa Umma ya mwaka 2019.

Kimesema mtumishi wa Umma anayo nafasi ya kutafuta haki yake Kwa njia ya rufaa au nafuu nyingine iwapo hajaridhishwa na uamuzi wa Mamlaka ya nidhamu.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Sheria Usalama Mahala pa Kazi wa TALGWU, Twaha Mtengera amesema Hali hiyo inaweza kutafuta huko isipokuwa kutokana naabadiliko ya Sheria husika watumishi wa Umma hawaruhusiwi Kwa mujibu wa kifungu Cha 32A cha Sheria ya utumishi wa Umma kutumia sheria za kazi au nyinginezo mpaka wakamiliashe kwanza utaratibu ulioainishwa chini ya Sheria ya utumishi wa Umma.

Kwa mujibu wa Mtengera kifungu Cha 25 Cha Sheria ya utumishi wa Umma pamoja na sehemu ya sita ya kanuni za utumishi wa Umma za mwaka 2022 zimefafanua utaratibu wa kuzingatia katika suala zima la kukata rufaa.

You Might Also Like

Baraza Kuu TUGHE Lasisitiza Haki, Wajibu Kuleta Tija Sehemu Za Kazi

Shemdoe aridhika huduma zinazotolewa na TVLA nanenane

𝐓𝐅𝐒 Y𝐚𝐧𝐝𝐚𝐚 M𝐤𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 W𝐚 M𝐢𝐚𝐤𝐚 1𝟎 Ku𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐳𝐚 N𝐚 K𝐮𝐡𝐢𝐟𝐚𝐝𝐡𝐢 M𝐢𝐬𝐢𝐭𝐮 Ya Mi𝐤𝐨𝐤𝐨 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐁𝐚𝐫𝐚

Thamani ya Fedha Ionekane Kwenye Utekelezaji wa Miradi-Nyamoga

COSOTA Yapokea Migogoro 136 Ndani Ya Miaka Minne

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watanzania lindeni Viwanda vya Ndani
Next Article Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Zimbabwe Yakabidhi Uenyekiti Kwa Madagascar
Habari August 7, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yatoa Onyo Kali kwa Wanaovunja Sheria za Umwagiliaji
Habari August 7, 2025
DC Atoa Wito kwa Tume ya Kurekebisha Sheria Kuzingatia Sheria Ndogondogo za Halmashauri
Habari August 7, 2025
TPHPA Yaleta Mapinduzi Mapya Katika Kilimo Kupitia Teknolojia ya Vinasaba
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?