MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wastaafu Watakiwa Kutafuta Ushauri  Wa Kitaalam Kwa Matumizi Ya Mafao
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wastaafu Watakiwa Kutafuta Ushauri  Wa Kitaalam Kwa Matumizi Ya Mafao
Habari

Wastaafu Watakiwa Kutafuta Ushauri  Wa Kitaalam Kwa Matumizi Ya Mafao

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu
WASTAAFU Wa Jeshi La Polisi nchini wameshauriwa kutumia vyema mafao wanayopata na kuwaona watalaam watakaowangoza kwenye kazi wanazoweza kuzifanya.
Mkuu wa Taasisi Ya Uhasibu Tanzania( TIA)  Profesa William Pallangyo amesema hayo katika sherehe za kuwaaga Wastaafu  nane wa   Chuo Cha Taaluma Ya Polisi  Dar es Salaam  Chuo hicho na kuwaambia kuwa kustaafu sio mwisho Wa Maisha Bali ni wakati wa kushiriki shughuli za kujenga Taifa.
 Amewataka kutumia busara katika kupanga maisha na matumizi ya mafao, huku wakilinda afya na kushirikiana kwa karibu na familia zao.
Habari Picha 9433
“Zaidi ya hayo, endeleeni kuwa kiunganishi bora kati ya Jeshi la Polisi, Serikali na wananchi,”amesema na kuongeza kuwa kwa wale waliopata mikataba ya kuendelea na utumishi, wafanye kazi kwa bidii wakithibitisha kwamba bado taifa linahitaji maarifa na hekima yao.
Amesema wastaafu wana tabia ya kukata tamaa,na kuwataka kuwa isiwe hivyo.
Aidha amesema  TIA Ina mpango Wa kuanzia Kutoa shahada ya Polisi sayansi ambapo watawashirikisha Wastaafu katika kufanikisha suala hilo.
Habari Picha 9434
Amesema kwa upande wa wapiganaji ambao bado wapo kazini, kitendo cha kuwaaga wengine  kiwe darasa na kioo cha kujiangalia huku wakijiandaa mapema kwa maisha ya kustaafu.
“Kila mmoja akumbuke kwamba wakati wake nao unakuja, hivyo ni vyema kujiandaa kwa nidhamu, weledi na mipango ya busara,” amesema.
Wakati huo huo alimpongeza  Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, (IGP) Camillius  Wambura, ambaye alihakikisha Wastaafu hao wanapata mafunzo ya msingi, malezi ya taaluma ya kazi na dira ya utumishi yenye uadilifu na weledi wa kipolisi.
Kwa upande wake Mkuu wa Chuo hicho Dkt. Lazaro  Mambosasa  Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi, amesema anatambua mchango wa Wastaafu hao na kusisitiza kuwa kustaafu sio mwisho bali ni wakati wanaohitaji kuwa na matumizi mazuri ya muda,kutulia na wenzi wao kwa malezi bora na uongozi makini .
Habari Picha 9435
Amesema fedha ya kustaafu sio madini hivyo watulie na familia zao wakikumbushana walivyokutana Kwa Mara ya kwanza huku wakiweka Mipango ya pamoja ya usimamizi Wa miradi itakayofanyika.

You Might Also Like

VETA Dodoma Waleta Mashine Kurahisishia Upekechuaji Wa Alzeti

Kamati Ya Bunge Ustawi Na Maendeleo Ya Jamii Yaridhishwa Wananchi Wanavyofikiwa

OUT Yasaini Mkataba Ujenzi Wa Maabara Tatu Za Sayansi

CCCC Yaandaa Tamasha La Dragon Boat

Rais Samia Akabidhi Tuzo Kwa NSSF Ya Usimamizi,  Uratibu Wa Hifadhi Ya Jamii Kw Sekta Binafsi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article OCPD Yakabidhi Juzuu Mpya za Sheria kwa Ofisi ya Taifa ya Mashitaka
Next Article EAC Iweke Ushindani Kuongeza Thamani Ya Malighafi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?