MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wanawake Tumieni Fursa Zilizopo Kufanya Biashara
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wanawake Tumieni Fursa Zilizopo Kufanya Biashara
Habari

Wanawake Tumieni Fursa Zilizopo Kufanya Biashara

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Lucy Lyatuu

SERIKALI inawataka wanawake nchini kutumia mianya inayotengenezwa ya kuweka mazingira mazuri ya kufanya biashara Ili waweze kusambaa kwa kuwafikia masoko m alimbali ndani na nje ya nchi.

 

Naibu Katibu Mkuu,Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum ,Felister Mdemu (anayeshughulikia dawati la wanawake na jinisa)amesema hayo  Dar es Salaam katika ufunguzi wa mafunzo kwa wanawake 40 kutoka nchi za Jumuiya Ya Afrika Mashariki (EAC) kuhusu huduma na sheria mbalimbali za manunuzi kijinsia.

 

Mafunzo hayo yameandaliwa na Kituo Cha Kimataifa Cha Biashara (ITC) chini ya Mwavuli wa kuwaangalia wanawake wajasiriamali duniani (SHE TRADE)na kuratibiwa na Baraza La Biashara la Afrika Mashariki (EABC).

 

Amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameweka mazingira mazuri Kwa wanawake kuingia kwenye biashara kwamba ipo mikopo ya asilimia 10 ambayo wanaweza kuvitumia kibiashara na kukuza uchumi pamoja na kuleta familia.

 

Amesema mafunzo hayo yamewakutanisha wanawake wafanyabiashara wanEAC kubadilishana uzoefu,Kwa kuwa wanawake wa Tanzania wanataka kufunguliwa zaidi kuoneahwa njia za kufanya biashara Kwa sababu mianya Iko wazi

.

” Tumekutana ili kufundisha sheria za manunuzi nchini Kenya zikoje,Uganda,Burundi ili walitaka kuingia humo wawe tayari,” amesema.

 

Amesema kupitia mafunzo hayo yatawezesha Watanzania kufunguliwa njia, kuoneahwa mianya na kujifunza zaidi bila kuvunja taratibu na kanuni.

 

Kwa upande wake Meneja wa Biashara EABC, Frank Daffa amesema lengo la mafunzo ni kuwafundisha wanawake kuhusu huduma na sheria mbalimbali zilizoko kwenye mrengo wa manunuzi kijinsia.

 

“Tunataka kuwawezesga wanawake kupata taarifa lakini pia kujiunga na mitandao mbalimbali ya wanawake iliyo chini ya ITC ili waongeze ufanisi wao wa kufanya biashara kwenye soko la Kimataifa”,amesema.

 

Amesema wapo wanawake wafanyabiashara 40 pamoja na wadau kutoka taasisi mbalimbali za watoa huduma Kwa lengo la kuelimisha wanawake kwamba Kuna fursa Gani ambazo zina mrengo wa kijinsia haswa Kwa wanawake.

 

Aidha pia wapo wadau wa Mamlaka za ununuzi ambao wataeleza sheria mbalimbali zilizopo kwenye nchi zao ambapo wametoka nchi za EAC ili kuwafundisha wanawake sheria zilizopo na zinavyoweza kuwasaidia wanawake kupata huduma na kufanya manunuzi kama wanawake.

 

Naye Filis Wanjiru kutoka ITC hususan chini  ya  Mwavuli wa SHE TRADE, amesema wanatarajia kutengeneza chombo (hb) katika maeneo mbalimbali Ili kusaidia biashara Kwa nchi zinazokuwa Ili kwenda Kimataifa zaidi.

 

Amesema mafunzo yanavyotolewa Kwa wanawake yanahusu manunuzi ambayo niuhimu kwani Kimataifa wanawake huweza kufanya zabuni Kwa asilimia Moja TU hivyo kupitia mafunzo hayo yatawezesha wanawake kuongeza wigo zaidi wa biashara.

 

Rais wa Chemba ya Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) Mercy Silla amesema kupitia mafunzo hayo wanawake wake sheria za manunuzi zinavyofanyika pale wanapotaka kufanya biashara.

 

 

 

You Might Also Like

Mjadala na Kampuni za Nishati Kimataifa Kuendelezwa

Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi

Wizara ya Nishati Yajivunia Jitihada Katika Kulinda Haki, Usawa na Kuwawezesha Wanawake

Ridhiwani  Azindua Hafla ya Kuupandisha Mwenge, Mlima Kilimanjaro

Bunge lapitisha muswada marekebisho ya sheria za Hifadhi ya Jamii

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Waziri Ridhiwani Akutana Na Balozi Wa Japan Nchini,  Wazungumzia Vijana
Next Article TUCTA Yaainisha Mambo Matano Yanayohitaji Hatua Za Haraka
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?